• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DKT. SAMIA AKERWA NA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO....

Posted on: September 17th, 2023


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema viongozi na vyombo vingine havifanyi kazi ipasavyo kwenye Wilaya kitu ambacho kinasababisha ukuwepo na ubadhirifu wa fedha za umma.


Dkt. Samia ameyasema hayo leo Septemba 16, 2023, wakati akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Majaliwa wilayani Tandahimba, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi Mkoani Mtwara.


Kauli ya Dkt.Samia ilikuja baada ya taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, ambaye amesema katika wilaya hiyo zimetolewa fedha kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya lakini ujenzi huo bado haujakamilika.


Aidha, Dkt. Samia ameshangazwa na viongozi mbalimbali ngazi za wilaya na halmashauri pamoja na kamati za siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushindwa kusimamia udhibiti wa matumizi ya fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi.


“Kamati za siasa ziko wapi, wakuu wa wilaya wako wapo, madiwani wapo, kwanini fedha itumike vibaya, lakini jengine, watu wa TAKUKURU kwenye wilaya hii wako wapi, kazi yao ni kuzuia na kupambana wasisubiri kupambana, kuzuia matumizi mabaya lakini kuzuia Rushwa.”


“Kwahiyo sielewi kwanini hali ifike hivi wakati viongozi wote wa serikali maeneo yote wako hapa.” DKT. Samia.


Ikumbukwe Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa alipofanya ziara wilayani humo Agosti 13, 2023 alitoa maagizo kwa TAKUKURU kuchunguza matumizi ya fedha shilingi Bilioni 1.5 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa vituo Vitatu vya afya ambavyo ujenzi wake bado haujakamilika.


Vituo hivyo ni kituo cha afya cha kata ya Mambamba, kituo cha afya kata ya Mihambwe na kituo cha afya kata ya Litehu.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • KINGA TIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WATOTO MIAKA 5-14 March 02, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • SHULE SALAMA MWAROBAINI WA UKATILI DHIDI YA WATOTO....

    September 27, 2023
  • SHULE SALAMA MWAROBAINI WA UKATILI DHIDI YA WATOTO....

    September 27, 2023
  • WANANCHI ARUSHA DC WAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA DUNIANI...

    September 27, 2023
  • WANANCHI ARUSHA DC WAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA DUNIANI...

    September 27, 2023
  • Tazama zote

Video

MFUGAJI AKIELEZEA FAIDA ZA UHIMILISHAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA - BANDA LA MIFUGO ARUSHA DC
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.