• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DSw

Posted on: May 22nd, 2020

Shirika lisilo la kiserikali la DSW limeendelea kuungana na serikali na watanzania wote, kwenye mapambano ya ugonjwa hatari wa Corona unaosababishwa na virus vya Covid 19, ambalo ni tishio kwa afya na maisha ya watanzania na watu duniani kote.

Akizungumza wakati wa kupokea msaada huo, mara baada ya kikao cha tathmini ya utekeleza wa mradi wa vijana, unaotekelezwa na shirika la DSW, kilichofanyika kwenye ukumbi wa Mwenyekiti, halmashauri ya Arusha, Afisa Vijana mkoa wa Arusha , Kurwa .....licha ya kulishukuru shirika hilo kwa msaada huo, amewataka watumishi kuendelea kutoa elimu kwa jamii, hasa ya kubadili tabia na kuona umuhimu wa kunawa mikono kila wakati kwa kujikinga na gonjwa la Corona.

Amewataka wananchi kuendelea kuchapa kazi, huku wakichukua tahadhari ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa Corona, kwa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa na kuzingatia maelekezo yanayotolewa na watalamu wa afya.

Akikabidhi msaada huo, mkurugenzi wa shirika la DSW,Peter Owaga, amesema kuwa, shirika lao limeona umuhimu wa kutoa vifaa vitakavyowezesha wananchi na watumishi kujikinga na Corona kufuatia maelekezo yanayotolewa na Serikali kupitia Wazara ya Afya.

Owaga amefafanua kuwa, wametoa ndoo za kunawia mikono 22, ili wananchi katika kata za ene waweze kunawa mikono wanapofika kwenye ofisi za serikali kupata huduma kwa kuwa, tahadhari inatakiwa kufanyika muda wote.

Amefafanua kuwa, kati ya ndoo hizo 22, kwenye kata 4 za eneo linalotekelezwa mradi na shirika hilo na zitatumika kwenye ofisi za kata hizo, ndoo 7 zitumike kwenye vikundi, ndoo 5 ofisi ya vijana mkoa na ndoo 6 kwa ajili ya ofisi za makao makuu, halmashauri ya Arusha.

Hata hivyo, mkurugenzi huyo, amewasisitiza wananchi kutekeleza majukumu yao ya kijamii, huku wakichukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa wa Corona kwa kunawa mikono kila mara, kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono.

"Ugonjwa wa Corona upo,na maisha yanatakiwa kuendelea hivyo ni vyema wananchi tuendelee kuchapakazi huku tukichukua tahadhsri ya kupata maambukizi ya ugonjwa huo, kwa kunawa mikono kwa maji na sabuni, na kufuata maelekezo yanayotolewa na Serikali na watalamu wa afya"amesisitiza mkurugenzi Owaga

Naye Afisa Maendeleo ya Jamii, halmashauri ya Arusha Angela Mvaa, amelipongeza shirika la DSW kwa kuwa wadau wa maendeleo katika halmashauri hiyo,  na kuona umuhimu wa kutoa vifaa vya kunawia mikono, jambo ambalo litasaidi wananchi kujikinga na ugonjwa wa Corona.

Shilika la DSW ni mdau mkuwa wa maendeleo kwenye halmashauri ya Arusha, katika kipambana na adui, ujinga, umaskini na maradhi, kwa kuwezesha wananchi kujikwamua kifkra, kijamii na kiuchumi, kuelekea uchumi wa kati.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.