• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

JAMII YATAIKIWA KUOTESHA MITI KWENYE MAENEO YANAYOISHI ILI KUTUNZA MAZINGIRA YANAYOWAZUNGUKA

Posted on: June 29th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Jamii imetakiwa kuhakikisha kuwa, wanatunza mazingira kwa kuotesha miti kwenye mazingira yanayowazunguka ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi yaliyotokana kuharibika kwa uoto wa asili.

Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2023, ndugu Abdallah Shaib Kaim wakati akitembelea na kukagua miradi ya maendeleo. 

Amesema kuwa, ukataji wa miti unasababisha uharibifu wa mazingira kwa kiasi kikubwa janga ambalo linasababisha uhaba wa mvu na ukame,mmomonyoko wa udongo.

Madhara ya uharibifu wa mazingira yanafahamika ni pamoja na ukosefu wa mvua unaosababisha ukame na jangwa, mvua zinazozidi na kusababisha mafuriko, uharibifu wa uoto wa asili na kusababisha vifo kwa viumbe hai, ni vema kila mtanzania akajitoa kutunza mazingira

"Sote tunafahamu kuwa Mazingira ni uhai, kwa kuwa uhai wa binadamu na viumbe vyote unategemea mazingira, tuoteshe miti kwa wingi, tutunze vyanzo vya maji, tusifanye shughuli za kibinadamu karibu na vyanzo vya maji, zaidi tufuge mifugo michache kwa kuzingatia ushauri wa kitaalmu" Ameweka wazi.

Ninyi ka jamii ya wafugaji fanyeni utaratibu wa kufuga kitaalamu kwa kutumia eneo dogo, sambamba na kuhifadhi maeneo ya kuotesha majiani kwa ajili ya mifugo yenu na sio kufuga holela na kuacha mifugo ikizurura, jambo hili huaribu mazingira na kusababidha mmomonyoko wa udongo kwenye maeneo yetu.

Hata hivyo kiongozi huyo ameshiriki kuotesha miti kwenye maeneo yote ya miradi ikiwa ni ishara ya utunzaji wa mazingira unaoendana na Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2023.

Aidha Kiongozi huyo wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, amewataka wananchi wa halmashauri ya Arusha  kuendeleza kampeni hiyo ya upandaji miti kwa kuhakikisha kila mwananchi anaotesha miti yake na kuitunza mpaka inakua.

KAULI MBIU: " TUNZA MAZINGIRA, OKOA VYANZO VYA MAJI KWA USTAWI WA VIUMBE HAI KWA UCHUMI WA TAIFA"

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.