• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

JUMLA YA WANAFUNZI 4,999 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, NOVEMBA 2022

Posted on: November 14th, 2022

Na Elinipa Lupembe.

Jumla ya Wanafunzi 4,999, wavulana 2,106 na wasichana 2,893 halmashauri ya Arusha wanategemea kufanya mtihani kwa Taifa wa kuhitimu Kidato cha 4 unaonza tarehe 14, Novemba 2022 kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).

Mkurugenzi Mtendaji na Mwenyekiti wa Kamati ya Mitihani halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, amebainisha kuwa idadi hiyo ya watahiniwa inajumuisha watahiniwa wa shule (school candidates), watahiniwa wa kujitegemea (private Candidates) pamoja na watahini wa Maarifa (QT).

Ameeleza kuwa, tayari maandalizi yote yamefanyika kwa mujibu wa taratibu za Mitihani ya Taifa huku wanafunzi na walimuawasimamizi wameshapewa mafunzo ya usimamizi wa mtihani huo.

Aidha amewataka wasimamizi wa mitihani, kuzingatia kanuni, sheria na taratibu wakati wotewa mitihani na kutokujiingiza kwenye aina yoyote ya vitendo vya udanganyifu kwa kuwa, lemgo la mitihani hiyo ni kuwapima wanafunzi kulingana na kile walichojifunza kwa miaka yote 4.

"Niwatake watalamu wote wanaohusika na usimamizi wa mitihani, kujiepusha na vitendo vilivyo kinyume na maadili ya mitihani, hakikisheni mnawasimamia wanafunzi hao kwa uaminifu ili waweze kufikia ndoto zao na sio kuwaingiza kwenye matatizo yasiyo ya lazima". Amesisitiza Mkurugenzi Msumi

Hata hivyo Mkuu wa shule ya sekondari Oldonyosmabu, Mwl. Loshai Moita, amesema kuwa  walimu wamewaandaa wanafunzi vema kisaikolojia na kiakili, wamejengewa uwezo wa kujiamini wakati wote wa mitihani kwa kuwa mtihani huo ni sawa na mitihani mingine ambayo huifanya mara kwa mara.

"Tumewafundisha wanafunzi wetu na kumaliza mada zote, tumewapa majaribio na mitihani ya kutosha, tumewaandaa kisaikolojia pia, kazi iliyobaki ni kwao, ila tunaamini hatutakuwa na divission 0 hata moja" .Amebainisha Mkuu huyo wa shule.

Awali Mkuu wa Idara ya Elimu sekondari, halmashauri ya Arusha, Mwl. Menard Lupenza amefafanua kuwa kati ya watahiniwa 4,999 wanaofanya mitihani mwaka 2022,  watahiniwa wa Shule ni 4,658 wavulana 1,950 na wasichana 2,708, watahiniwa wa Kujitegemea ni 307 wavulana 134 na wasichana 167 huku watahiniwa wa Maarifa ni 40 wavulana 22 na  wasichana 18.

Uongozi wa Halmashauri ya Arusha, unawatakia kila la kheri watahiniwa wote, wanaofanya mtihani wa kidato cha 4 mwaka 2022, unaoanza tarehe 14, Novemba 2022.


MWENYENZI MUNGU AWASIMAMIE!!!!


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.