• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA YATEMBELEA KIKUNDI CHA VIJANA WAJASIRIAMALI KIDALI YOUTH GROUP KILICHOPEWA MKOPO NA SERIKALI

Posted on: May 2nd, 2023

Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, wametembelea na kukagua mradi wa Kikundi cha Vijana cha KIDALI YOUTH GROUP kilichopo kata ya Mwandet, kukundi kilichopewa mkopo usio na riba kiasi cha shilingi milioni 10 ikiwa ni asilimia 10 za mapato ya ndani ya halmashauri.

Akisoma taarifa ya maendeleo ya mradi huo, Katibu wa Kikundi, Elibariki Mollel, amesema hadi sana mradi umefikia mtaji wa milioni 12.3 kutoka wa milioni 2.3 waliokuwa nao hapo awali kabla ya kupata mkopo.

Amefafanua kuwa baada ya kupokea mkopo wa shilingi milioni 10 kutokaka halmshauri walifanikiwa kununua ng'ombe pamoja na kondoo, ambao wanawanenepesha na kuwauza tena kwaajili ya kijipatia faida na kukuza mradi.

"Tunaishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kutoa fursa kwa vijana wanawake na walemavu kupitia mikopo isiyo na riba inayotolewa na halmashauri zote nchini na kuwahimiza vijana wenzao kuacha kulalamika badala yake kufanya kazi kulingana na mazingira wanayoishi".Alisema katibu huyo

Naye Diwani Viti Maalum CCM, Mhe. Grace Seneu ameonyesha kufurahishwa na mradi huo wa kikundi cha vijana wakiwa na maendeleo mazuri, na kuwataka watalamu wa halmashauri kuendelea kuwasimamia ili wapige hatua zaidi ili vijana wengine waweze kuiga mfano huo.

Naye Afisa Maendeleo ya Jamii, Halmashauri ya Arusha Stedvant Kileo, ameahidi kusimamia kikundi hicho katika hatua zote kwa kutoa ushauri wa mradi na utunzaji wa fedha mpaka hapo watakapoweza kusimama kibiashara.

ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.