• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA ZAHANATI MPYA YA LEMUGUR KATA YA MATAVES

Posted on: May 2nd, 2023

Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, wametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa zahanati mpya katika kijiji cha Lemugur Kata ya Mateves.


Mradi huo unatekelewa kwa gharama ya shilingi milioni 92.4 fedha kutoka Serikali kuu kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).


Katika ziara hiyo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha, mhe. Dkt. ojung'u Salekwa  lkwa niaba ya waheshimiwa madiwani wote wa halmashauri ya Arusha ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia TASAF kwa kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa Zahanati hiyo na kuwapongeza watalam wa halmashauri pamoja na kamati zote za ujenzi kwa kusimamia vyema matumizi sahihi ya fedha hiyo ya Serikali.


Zahanati hiyo itasaidia upatikaji wa huduma za matibabu kwa wananchi wa kijiji hicho kwa ukaribu zaidi na kuondoa adha iliyokuwepo hapo awali ya wananchi kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za matibabu katika Vijiji jirani.


Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo, Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Lemugur, John Sanin'go, amesema kuwa mbali na zahanati hiyo kutoa huduma kwa wananchi pindi itakapokamilika, lakini pia ujenzi wa zahanati hiyo umesaida kutoa ajira za muda mfupi kwa wakazi wa kijiji hicho ambazo zinasaidia kujipatia kipato kwaajili ya matumizi ya familia zao.


ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.