• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KINGA TIBA YA INYOO YA TUMBO

Posted on: March 1st, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Arusha yazindua zoezi la umezashaji kinga tiba ya minyoo ya tumbo kwa shule zote za msingi kwa watoto wenye umri wa kuanzia miaka 5 mpaka 14.


Akizindua zoezi Hilo Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Arusha Dkt.Ojungu Selekwa ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayo ongozwa na Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha upatikanaji wa dawa za kinga tiba ya minyoo ya tumbo kwa Wanafunzi.

"Kwanza tunamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kutenga kiasi kikubwa Cha fedha kwa ajili ya upatikanaji wa dawa hizi,na sisi kama halmashauri ya Arusha tunamwakikishia kuwa zoezi hili litahitimishwa vizuri".Alisema Dr.Ojungu.


Dkt.Ojungu alitoa wito kwa Wazazi wa wanafunzi pamoja na walimu kuahakikisha wanafunzi hao wanakuwa kwenye mazingira ya usafi ikiwemo kusimamia kunawa mikono kabla ya kula na kuosha matunda kabla ya kuyatumia pamoja na kutumia maji safi na salama.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt.Petro Mboya amsema kuwa zoezi hilo la umezeshaji Kinga tiba ya minyoo ya tumbo ni salama na halina madhara yoyote kwa watoto na kuwa lengo la Serikali ni kuhakikisha inazuia na kutokomeza magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele (NTDs) ifikapo 2030.


"Pamoja na zoezi hili nitoe rai kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanasimamia vizuri maeneo yao hasa katika usalama wa Afya kwa mtoto, mazingira lazima yawe salama ikiwemo kuhakikisha vyakula wanavyokula watoto vinatayalishwa vizuri pamona na matumizi sahihi ya vyoo".Alisema Dr.Mboya.

Naye Mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele (NTDs) Ndugu Shabani Mkota alisema zoezi hilo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha ambalo Kiwilaya limezinduliwa katika shule ya msingi Enaboishu limelenga kufikia shule 102 zikiwa za Serikali, na shule za msingi 74 binafsi ikiwa jumla ya shule zote 176 na kwamba zoezi hili litachukua siku mbili kuanzia tarehe 27 na kuhitimishwa tarehe 28 mwezi huu wa pili,huku akitoa rai kwa wazazi na walezi kujitokeza kwa wingi kuleta watoto wao ambao hawajaandikishwa kwenye shule za msingi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.