• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

LEOPARD TOURS WAKABIDHI PIKIPIKI 20 KWA JESHI LA POLISI ARUSHA

Posted on: January 24th, 2025

LEOPARD TOURS WAKABIDHI PIKIPIKI 20 KWA JESHI LA POLISI ARUSHA.

Kampuni ya Utalii ya Leopard Tours leo tarehe 24/01/2025 imekabidhi pikipiki 20 kwa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za kuimarisha ulinzi na usalama Mkoani humo.


Akizungumza wakati akikabidhi pikipiki hizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mkurugenzi Mtendaji wa Leopard Tours, bwana Zuher Fazal amesema kuwa hatua hiyo ya kutoa pikipiki kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha imetokana na juhudi zilizofanywa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Sekta ya utalii ambayo kupitia Royal Tour mapato ya Utalii yameongezeka na hali ya usalama kwa Watalii iko vizuri.


Pia amemshukuru Mkuu wa Mkoa,Mhe Paul Christian Makonda ambaye amekuwa nguzo kubwa kwa kuendeleza juhudi hizo kwenye Sekta ya Utalii kwa kuzingatia kuwa Arusha ndio Kitovu cha Utalii Nchini na kuwa Jeshi la Polisi limekuwa likifanyakazi kubwa ya kuimarisha usalama wa raia na Watalii.


Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameishukuru Kampuni ya Leopard Tours kwa moyo wa kizalendo kujitoa kuisaidia jamii ya wana Arusha na zaidi katika kutoa ajira kwa vijana wa Kitanania katika sekta ya utalii na kinachopatikana katika mapato kukirejesha kwa jamii.


“Moja ya kazi yangu ya msingi katika Mkoa huu ni pamoja na kuweka mazingira mazuri kwa kila mwananchi wa Mkoa huu kutekeleza majukumu yake pasipo bughudha yoyote ile”. Amesema Mhe. Makonda.


Hata hivyo,Mhe.Makonda amelitaka Jeshi la Polisi kuongeza kasi ya kuimarisha Ulinzi na Usalama ili kuhakikisha kuwa Mkoa wa Arusha unakuwa kitovu cha Amani Nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.