• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MADAU WA MAENDELEO ATOA MSAADA SHULE YA MSINGI OLIMRINGARINGA

Posted on: November 15th, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Mdau wa maendeleo na mtalii kutoka nchini  Marekani, bwana Claude Piere, amekabidhi msaada wa vifaa vya kujifunzia na kujifunzia pamoja na kupaka rangi vyumba 10 vya madarasa, shule ya msingi Olimringaringa, halmashauri ya Arusha.

Mdau huyo wa maendeleo, ambaye ni rafiki wa shule hiyo,  ameweka wazi kuwa, amefikia uamuzi huo baada ya kuona uhitaji wa watoto wa shule hiyo, kusoma katika mazingira yanayovuti na pamoja na kuwa na vitabu vya kutosha, vitakavyoweza kuwapa maarifa zaidi.

"Elimu ndio zawadi kubwa ya pekee kwa watoto wa shule ya msingi Olimringaringa, itakayowawezesha kupata maarifa, wote tumepata elimu, napenda kutoa zawadi hii iweze kuwasaidia, wanafunzi kuwa na maisha ya furaha wawapo shuleni" amesisitiza Claude.

Mwalimu mkuu shule ya msingi Olimringaringa, Revokatus Gamba, licha ya kumshukuru mdau huyo kwa kutoa msaada huo wa kupaka rangi vyumba vya madarasa na baadaye kutoa msaada huo wa vitabu, amefafanua kuwa, msaada huo utaongeza hamasa kwa wanafunzi kujisomea na kupata maarifa na hatimaye kuwawezesha kufaulu vizuri katika mitihani yao na kupandisha kiwango cha taaluma shuleni hapo.

"Tunamshukuru bwana Pierre kwa kupaka rangi vyumba kumi vya madarasa, madarasa ambayo yalikuwa yameanza kuchakaa kutokana na kujengwa muda mrefu, mazingira ya shule sasa yanavutia wanafunzi kusoma na walimu kufundishia, yanaongeza hamasa ya kujifunza" amesema mwalimu huyo. 

Naye mratibu wa mradi huo, Vicky Laizer amesema kuwa, mtalii huyo, ametoa vifaa hivyo kupitia mradi unaojulikana kama 'Olimringaringa Primary school Donation Project', wenye lengo la kuweka mazingira rafiki ya kujifunzia na kufundishia kwa wanafunzi wa kuanzia darasa la awali mpaka shule ya msingi.

Aidha amevitaja vifaa alivyokabidhi shuleni hapo ni pamoja na kalamu, rula, vichongeo, vitabu vitabu vya hadithi vya lugha ya kingereza, vinavyowezesha wanafunzi kujiongezea maarifa ya ziada katika masomo na pamoja na kujifunza lugha ya kiingereza, pamoja na kupaka rangi vyumba 10 vya madarasa.

Hata hivyo wanafunzi wa shule hiyo ya msingi, wamemshukuru mdau huyo, kwa kuona umuhimu wa kuboresha mazingira ya shule yao pamoja na kuwapa vifaa vya kujifunzia na kufundishia ikiwemo vitabu vya kiada na ziada.

Bahati Olais mwanafunzi wa darasa la sita, amemshukuru mdau huyo na kuthibitisha kuwa,  kwa sasa vyumba vya madarasa vinavutia na vinawapa hamasa ya kusoma, na vitabu walivgopewa vitawawezesha kusoma na kuahidi kusoma kwa bidii ili waweze kufaulu vizuri.








Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA August 14, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA BW. SELEMAN MSUMI AWASHONEA SARE MADEREVA WA HALMASHAURI HIYO

    October 02, 2025
  • WIZARA YA KILIMO KUPITIA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO (COPRA) YAZINDUA RASMI MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PARACHICHI KWA MWAKA 2025/2026

    September 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MWINYI AHMED MWINYI AHITIMISHA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT)

    September 21, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA AWAASA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA USAFI

    September 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.