• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAGUNIA 237 YA BANGI YATEKETEZWA ARUMERU

Posted on: October 18th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe.Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, ameongoza zoezi la uteketezaji wa jumla ya Magunia 237 ya Dawa za kulevya aina ya bangi, kutoka maeneo tofauti tofauti ndani ya Wilaya ya Arumeru. Zoezi hilo limefanyika katika Dampo la Kikatiti halmashauri ya Meru. Wakati wa uchomaji wa bangi hilo, Kaganda aliambatana na kamati ya Usalama Wilaya ya Arumeru pamoja na Maafisa kutoka ofisi ya Kanda inayoshughulikia udhibiti wa dawa za kulevya Mkoani Arusha.


Akizungumza wakati wa tukio hilo, Mhe.Kaganda amesema mwezi Septemba na Oktoba mwa huu, waliongoza oparesheni na kufanikiwa kukamata Magunia ya bangi 316 ambapo magunia 91 yalishateketezwa na yaliyobaki 237 yameteketezwa leo pamoja na kilo 310 za mbegu za bangi.


Mhe.Kaganda amesema, mpaka sasa uzalizaji wa zao la bangi kwa maeneo ya Kisimiri na Losinon juu umepungua kutokana na juhudi za Serikali kutoa elimu ya madhara ya zao hilo.


"Kama Serikali tutahakikisha tunaendelea kupambana na wale wote wanaojihusisha na ulimaji wa zao hili, ni muhimu kutambua kuwa Arumeru siyo sehemu salama kulima, kuuza au kutumia bangi. Natoa wito kwa wakulima wetu, kujihusisha na kilimo cha mazao mengine na tayari Serikali kupitia Wizara ya Kilimo inao mkakati juu ya ulimaji wa zao mbadala la Pareto na mazao mengine yatakayofaa kutokana na hali ya hewa ya Arumeru"


Sambamba na hilo, Mhe.Kaganda amevipongeza vyombo vya ulinzi na usalama Wilayani Arumeru pamoja na wananchi kwa ushirikiano katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya ikiwemo kilimo cha bangi. Pia ameweka wazi kuwa zoezi hilo ni ajenda ya kudumu ili kuhakikisha jamii inabakia salama na kwamba Arumeru bila Bangi inawezekana.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.