• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKOA WA ARUSHA WASHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KATIKA LISHE.

Posted on: October 9th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema Mkoa wa Arusha umeshika nafasi ya pili Kitaifa katika afua za lishe.

Ameyasema hayo alipokuwa akiwasainisha mikataba ya Lishe Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmshauri za Mkoa wa Arusha.

"Tumejitaidi kufanya vizuri katika kukidhi vigezo vya lishe sasa twendeni tukaweke nguvu zaidi katika kusimamia afua za lishe ili tuweze kuongoza".

Swala la lishe likawe agenda ya kudumu kwa ngazi za Wilaya na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi lisimamieni hili.

Timu ya afya ikafanye kazi ya kutoa elimu na hamasa hadi ngazi za vijiji ili wananchi wapate uwele zaidi.

Kukosa lishe nikusababisha umaskini katika Taifa kwani hakutakuwa na Jamii inayoweza kujituma kwa kufanya kazi kwa bidii kwasababu wengi watakuwa na utapiamlo.

Nae, Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Musa amezitaka halmashauri kutoa fedha za lishe kwa kila robo mwaka na mapema ili kurahisisha shughuli za lishe kufanyika kwa wakati.

Aidha, amewataka wataalamu wa lishe kufanya ukaguzi wa vyakula katika mashule ili kujihakikishia kuwa chakula kinachotolewa kwa wanafunzi kinafaa.

Kikao cha kusaini mikataba ya lishe kwa Mkoa wa Arusha kilijumuisha kamati za ulinzi na usalama Mkoa, Wilaya, Wakurugenzi, na Makatibu Tawala wa Wilaya ambapo Kitaifa Mkataba huo ulisainiwa na Mhe.Samia Suluhu na Wakuu wa Mkoa mnao septamba 30, Jijini Dodoma.







Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.