MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMAURI YA WILAYA YA ARUSHA AWATAKA WATUMISHI KUFANYA KAZI KWA WELEDI.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, Suleman Msumi, @sulleh_msumi ametoa wito kwa watumishi wote wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanatoa huduma kwa weledi na kwa kuzingatia sheria, taratibu, na kanuni zilizowekwa.
Akizungumza katika mkutano na watumishi wa Idara na Vitengo vyote wa Halmashauri uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo, Mkurugenzi Msumi amesisitiza umuhimu wa kila mtumishi kuwajibika kutekeleza majukumu yake kwa bidii na weledi.
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.