• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Muasisi wa mradi wa maji wa vijiji vitano Bi.Louise Richardson ashiriki kushuhudia mradi huo, ukiwekewa Jiwe la Msingi na Mwenge wa Uhuru 2019

Posted on: June 10th, 2019

Na. Elinipa Lupembe.

Muasisi wa Mradi wa maji wa Vijiji Vitano na Diwani wa kata za Enderbay na St. Johns, nchini Uingereza, Bi. Louise Richardson na mkurugenzi wa  shirika la Tumain Jipya- New Hope, ameungana na watanzania kushuhudia, mradi huo, ukiwekwa Jiwe la Msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2019, Mzee Mkongea Ali. 

Bi. Louise ndiye muasisi wa mradi huo mkubwa wa maji,baada ya kuishi kwa muda katika kijiji cha Lengijave na kushuhudia adha kubwa ya maji waliyoipa wananchi wa maeneo hayo, na kuguswa hasa na wanafunzi wa kike walioshindwa kupata maji walau ya kujisitiri wawapo kwenye siku zao.

Louise aliporejea nchini kwake, aliwasilisha hitaji hilo la wananchi wa Lengijave, kwwenye Serikali ya Uingereza, kupitia bunge la Serikali hiyo na kuamua kusaidia ujenzi na upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi wa kijiji cha Lengijave na vijiji vingine vinne.

Mradi wa maji wa vijiji vitano unaotekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 8.4, kwa ufadhiliwa na Idara ya Maendeleo Uingereza 'DFID', unategemea kuhudumia watu elfu 50 wa vijiji vya Lengijave na Olkokola na Vitongoji vya Ekenywa, Seuri na Olmotony vya Mamlaka ya Mji mdogo Ngaramtoni.
 
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhe. Jerry Muro na Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya Arusha Dkt. Wilson Mahera kwa pamoja wanatoa shukrani za dhati kwa Mama Louise kwa kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Dkt. John Magufuli, na kuhakikisha kila mwananchi anachota maji ndano ya mita 400.

Mradi huu umefikia asilimia 50 ya utekelezaji wake na unategemea kukamilika kabla ya mwisho wa mwaka huu 2019, aidha, kukamilika kwa mradi huu, halmashauri ya Arusha, itafikisha asilimia 75 ya  idadi ya wananchi wanaopata maji safi na salama.

 Kongole kwake Mama Louise Richardson.
#PamojatunajengaTanzania#


Jiwe la msingi lililowekwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2019, ndugu Mzee Mkongea Ali, kwenye mradi wa maji wa vijiji vitano.




Timu ya wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa 2019, ikiongozwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2019, ndugu Mzee Mkongea Ali, kukagua moja ya tanki la kuhifadhia maji kwenye mradi wa maji wa vijiji vitano, na kujiridhisha, kabla ya kuweka jiwe la msingi.


Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2019, ndugu Mzee Mkongea Ali, akikagua moja tanki la kuhifadhia maji kwenye mradi wa maji wa vijiji vitano, na kujiridhisha kabla ya kuweka jiwe la msingi.



Mwenge wa Uhuru 2019 ukiwasili eneo la shamba la mbegu ASa, mahali kwenye vyanzo viwili vya maji, nyumba za kusukuma maji, matanki ya kuhifadhia maji pamoja na nyumba ya kuchuja na kuchakata maji.

Picha ya pamoja Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro na Timu ya Tumaini Jipya (waliovaa flana nyeupe) wakiongozwa na Mama Louise Richardson wa (wa nne kutokakushoto), Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha mhe. Noah Lembris wa tatu kutoka kulia, Diwani wa Kata ya Lengijave mhe. Kalanga Laiza wa pili kushoto.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.