• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MWAROBAINI WAANDALIWA KWA WATOA HUDUMA ZA FEDHA WAKAIDI

Posted on: January 26th, 2025

*MWAROBAINI WAANDALIWA KWA WATOA HUDUMA ZA FEDHA WAKAIDI*

Watoa huduma za Fedha Nchini wametakiwa kufuata Sheria na taratibu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiwemo kujisajili, kutoza viwango sahihi vya riba na kuwapa nakala za mikataba wakopaji ili kuepuka adhabu kwa wanaokiuka Sheria za huduma za fedha.


Akitoa elimu ya fedha kwa wajasiliamali na wananchi wa Kata ya Ilikiding’a Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, Afisa Usimamizi wa Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw Salim Kimaro amewataka wajasiliamali hao kusajili vikundi vyao vya huduma ndogo za fedha ili kulinda fedha zao dhidi ya wanakikundi wasiyo waaminifu.


‘’Hatusemi vile vikundi vyenu ambavyo havijasajiliwa mvivunje hapana, ni vizuri ila nendeni mkavisajili, kama wale mliowaona kwenye filamu wangesajili kikundi chao na kuweka hela benki fedha zao zisingepotea’’ alisema Bw. Kimaro.


Naye Afisa Mwandamizi, Uchambuzi Fedha, Idara ya Sera, Utafiti na Mipango, kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), CPA. Gladness Mollel, amewashauri wajasiliamali hao kuwekeza katika njia mbalimbali ikiwemo zile walizofundihswa na watalam wa elimu ya fedha kwa ajili ya kujikimu katika kila hali ya maisha.


‘’Kuna njia nyingi za uwekezaji ikiwemo hatifungani kuna aina mbalimbali za hatifungani, kwanza zipo hatifungani za Serikali na pia zipo hatifungani za kampuni na taasisi nyingine’’ alisema Bi. Gladness.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, Bw. Seleman Msumi, amewahakikishia wataalamu hao wà usimamizi wa Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha toka Wizara ya Fedha kuwa ofisi yake itatoa ushirikiano kwa kutoa elimu zaidi Ili vikundi ndani ya Halmashauri hiyo vinavyotoa huduma za kifedha katika masuala ya ujasilimali kujisajili ilikukidhi matakwa ya kisheria wanapotoa huduma kwa wanachama wao.

Aidha, Lulu Mesikana ambaye ni mmoja wa wajasiliamali waliohudhuria mafunzo hayo ya elimu ya fedha, aliipongeza Wizara ya Fedha kwa kuona umuhimu wa kutoa elimu hiyo kwa wananchi huku akiomba programu hiyo ya elimu ya fedha iwe endeevu.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.