Mwenyekiti halamshauri ya Arusha, mheshimiwa Ojung'u Salekwa, akifunguanmkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa ya robo ya nne na ya mwisho kwa mwaka wa fedha 2021/2022.
Mheshimiwa Mwenyekiti, amebainisha kuwa mkutano huo ni wa muhimu sana kwa maendeleo ya wanachi wa halamshauri ya Arusha na kuwawataka wajumbe wa mkuatano huo kujikita zaidi kwenye kujadili hoja za msingi na zenye manufaa kwa wananchi wa halmashauri hiyo.
Mkutano huo una jumla ya Ajenda 9 huku ajenda kuu zikiwa ni maswali ya papo kwa papo, taarifa za mapato na matumizi kwa mwezi Juni 2022, taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya nne 2021/2022 pamoja na kukabidhi vya shukrani kwa wadau 11 walioshiriki kuwezesha zoezi la mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2022.
SHIRIKI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022
JIANDAE KUHESABIWA 23.08.2022
Mwenyekiti halmashauri ya Arusha Mhe. Ojung'u Salekwa, akifungua mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za robo ya nne na ya mwisho kwa mwaka wa fedha 2021/2022, kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.