• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

NI ZAMU YA MOIVO SASA MILIONI 584.2 KUJENGA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA KATA ..

Posted on: July 17th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Kufuatia mkakati wa Serikali wa kuwa na shule ya sekondari kila kata, kupitia program ya kuboresha miundo mbinu ya elimu kwa shule za sekondai (SEQUIP) imetoa fedha kiasi cha shilingi milioni 584.2 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari Moivo.

Akizungumza na ofisini kwake na mwandishi wa habari hizo, mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha Seleman Msumi amekiri kiasi hicho cha fedha kimepokelewa kwenye akaunti ya shule mama ya Sekondari Enyoito na tayari mchakato wa ujenzi umeanza.

Ameweka wazi kuwa kiasi hicho cha fedha kitatumika kujenga vyumba 8 vya madarasa, maabara 3 za masomo ya Sayansi, chumba cha masomo ya TEHAMA, matundu 8 ya vyoo yenye sehemu ya wanafunzi wenye mahitaji maalum pamoja na chumba maalum cha kubadilishia wasichana. 

"Kama ilivyo utaratibu wa serikali, ujenzi utatekelezwa kupitia 'force akaunti' huku shughuli zote zikifanyika kwenye ngazi ya jamii kwa usimamizi wa watalaam wa ofisi yangu". Amefafanua Mkurugenzi Msumi
Hata hivyo Msumi, amemshukuru Mheshimiwa Rais na kuipongeza serikali ya awamu ya sita kwa kasi ya kuboresha sekta nyeti ya elimu, na kuongeza kuwa fedha zimekuja wakati muafaka kwa kuwa kata ya Moivo ina idadi kubwa ya watoto ambao wanasoma shule za kata jirani za Ilkiding'a na Enyoito, jambo ambalo linasababisha msongamano wa wanafunzi kati shule hizo.

Naye Afisa Elimu Sekondari, Mwl. Menard Lupenza amethibitisha umuhimu wa shule hiyo, licha ya kuwa na shule kata ya Moivo lakini utaondoa msongamano wa wanafunzi kwa shule za jirani na kurahisisha tendo la kujifunza na kufundishaji kwa walimu na wanafunzi pamoja na kupandisha kiwango cha taaluma shuleni hapo.

"Kutokana na serikali kutoa elimu bila malipo kumekuwa na ongezeko kubwa la wanafunzi wanaojiunga na elimu ya sekondari, hivyo kuna uhitaji mkubwa wa shule za sekondari kwa kila kata"Ameweka wazi Afisa Elimu huyo

Ikumbukwe kuwa ujenzi wa shule hiyo mpya ni utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020 -25 Sura ya Tatu, Ibara ya 79 (i) Kuongeza fursa za upatikanaji wa elimu ya sekondari kwa: kuongeza idadi ya shule za sekondari.

ARUSHA DC NI YETU, TUSHIRIKIANE KUIJENGA,

#KaziIendelee


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.