• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

PPRA KANDA YA KASKAZINI YAENDESHA MAFUNZO YA MFUMO WA UNUNUZI WA UMMA (NeST) KWA WADAU MBALIMBALI HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA

Posted on: February 5th, 2025

PPRA KANDA YA KASKAZINI YAENDESHA MAFUNZO YA MFUMO WA UNUNUZI WA UMMA (NeST) KWA WADAU MBALIMBALI HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. Omar Sembe amewataka washiriki wa mafunzo ya mfumo mpya wa manunuzi ya umma ( Nest) kuyatumia mafunzo hayo vyema ili kuleta tija mahali pa kazi.


Bwana Sembe ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya siku mmoja yaliyoandaliwa na PPRA kanda ya kaskazini kwa lengo la kuwajengea uwezo watumishi wanaoshughulika na mifumo ya manunuzi ya Serikali ndani ya Halmashauri ya Wilaya Arusha.


Akieleza dhima nzima ya mafunzo hayo, Afisa wa PPRA kanda ya kaskazinii Bi. Nuru Bazaar amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwafikia wadau moja kwa moja na kutatua changamoto zao wanazokutana nazo wanapokuwa wakitumia mfumo wa ununuzi wa umma (NeST).


Bi.Nuru amesema kuwa watumishi wa Umma wasiogope kutumia mfumo huu kwani teknolojia inakuwa kwa kasi duniani na mifumo mingi hubadilika kila wakati na ni sharti la kukubali kuendana na wakati.


Kwa upande wake, bi Diana Tatala mkufunzi wa mafunzo hayo amewasisitiza wadau kufanya makisio halisi kwa kuzingatia jiografia ya eneo husika ambapo mradi unatekelezwa. “Thamani halisi ya kile kinachojengwa/Kinachonunuliwa lazima ionekane,gharama za miradi ziende sambamba na gharama za usimamizi wa miradi hiyo,huwezi kuwa na mradi usio na gharama za usimamizi".amesema Bi. Diana Tatala


Mafunzo hayo ya siku moja yamefanyika katika ukumbi wa shule ya Green Acres yamegusa makundi mbalimbali ya wadau wa mfumo wa ununuzi wa umma wakiwemo,Waganga wafawidhi,Walimu wakuu,Wakuu wa shule,Watendaji wa Kata,Wakuu wa Divisheni na Vitengo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA August 14, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA BW. SELEMAN MSUMI AWASHONEA SARE MADEREVA WA HALMASHAURI HIYO

    October 02, 2025
  • WIZARA YA KILIMO KUPITIA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO (COPRA) YAZINDUA RASMI MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PARACHICHI KWA MWAKA 2025/2026

    September 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MWINYI AHMED MWINYI AHITIMISHA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT)

    September 21, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA AWAASA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA USAFI

    September 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.