• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RAIS PEREIRA AFUNGUA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA UMOJA WA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU RASMI JIJINI ARUSHA

Posted on: February 3rd, 2025

RAIS PEREIRA AFUNGUA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA UMOJA WA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU RASMI JIJINI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Cabo Verde Mhe. José Maria Pereira Neves, amezitaka nchi za Afrika kuimarisha demokrasia na Utawala bora ili kuepuka kujirudiarudia kwa makosa yaliyotokana na nchi kutawaliwa na wakoloni na kusababisha baadhi yake kuendelea kudai fidia hadi sasa.


Rais Neves, akihutubia kama mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Mwaka Mpya wa Mahakama ya Umoja wa Afrika ya Haki za Bianadamu, ametoa angalizo dhidi ya migogoro inayoendelea kutokea Barani Afrika inayorudisha maendeleo ya Jamii kubwa, sababu ikionekana kutokuzingatiwa kwa haki za bianadamu na Uongozi Bora.


“Naipongeza Mahakama ya umoja wa Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kwa kuchagua kaulimbiu nzuri ya ulipaji Fidia kuendeleza haki kwa watu wa Afrika hata hivyo zoezi la ulipaji fidia ni zaidi ya ulipwaji wa fidia, kwa kuwa inahusiasha mambo mbalimbali makubwa ikiwemo kuponya majeraha ya kihistoria Haitoshi kuishi katika kulaani na kukemea kwa maneno, miaka ijayo kuna vizazi vitakuja kudai fidia kwa migogoro yetu wenyewe na sio wakoloni.” Alisema Mhe. Pereira Neves


Awali Rais wa Mahakama ya Umoja wa Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Mhe. Jaji Imani D. Aboud akihutubia kwenye ufunguaji wa mwaka mpya wa Mahakama hiyo alieza umuhimu wa kauli mbiu waliochagua umezingatia hali halisi ya dhamira na Mahakama hiyo katika kuhakikisha watu walio pitia na wanaopitia hali ya ukandamizaji wa Haki za Binadamu wanalipwa fidia.


Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo majaji, viongozi kutoka kwenye Taasisi za Utetezi na Utoaji Haki za Binadamu barani Afrika. Aidha, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imewakilishwa na Mhe. Dennis L. Londo (Mb.); Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ambaye amemwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabiti Kombo (Mb.). Vilevile, Mhe. Londo aliambatana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Musa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.