• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC ARUSHA AWAAPISHA WAKUU WANNE WA WILAYA  MKOA WA ARUSHA.....

Posted on: February 2nd, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John Mongela amewaapisha wakuu wanne wateule wa wilaya za mkoa wa Arusha,  walioteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Samia Suluhu Hassan mwishoni mwa wiki iliyopita.


Mkuu huyo wa mkoa amewataka wakuu hao wa wilaya kwenda kufanya kazi ya kuwahudumia wananchi katika maeneo yao huku wakizingatia sheria kanunu, taratibu na hekima.


Mheshimiwa Mongela amewasisitiza wakuu hao wa wilaya kuwa kiapo hicho cha Utii kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kinawalazimu kutumia sheria kanuni na taratibu pamoja na hekima katika kutekeleza majukumu yao yakiutendaji.


"Suala la ulinzi na usalama ni la kipaumbele cha kwanza kwenu wakuu wa wilaya, tambueni kuwa hakuna maendeleo pasipokuwa na usalama kwa wananchi, mnalo jukumu kubwa la kusimamia ulizni na usalama katika maeneo yenu". Amesisitiza Mhe. Mongela


Aidha amewaagiza kusimamia na kuhakikisha watoto wote walioandikishwa kuanza darasa la awali nala kwanza, pamoja na wale wa kidato cha kwanza kuhakikisha wanaripoti kwenye shule walizopangiwa haraka iwezekanavyo.


Amewakumbusha  kuwa Agenda ya kitaifa ya utunzaji wa mazingira, na kuwataka kuhakikisha kila wilaya inatumia msimu huu wa mvua kupanda miti katika maeneo yao ya kazi kwa kushirikiana na TFS.


Awali wakuu hoa wa wolaya wameapishwa mara baada ya kueuliwa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuzihudumi wailya za Arumeru, Arusha, Longido na Monduli. 


"ARUSHA DC Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

#KaziInaendelea✍✍✍






Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA August 14, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA BW. SELEMAN MSUMI AWASHONEA SARE MADEREVA WA HALMASHAURI HIYO

    October 02, 2025
  • WIZARA YA KILIMO KUPITIA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO (COPRA) YAZINDUA RASMI MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PARACHICHI KWA MWAKA 2025/2026

    September 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MWINYI AHMED MWINYI AHITIMISHA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT)

    September 21, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA AWAASA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA USAFI

    September 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.