• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC KIMANTA AONGOZA WAKAZI WA MKOA WA ARUSHA KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA RAS, MAREHEMU RICHARD KWITEGA

Posted on: February 5th, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Mkuu wa mkoa wa Arusha, mheshimiwa Idd Kimanta, amewaongoza wakazi wa mkoa wa Arusha na vitongoji vyake, kuuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, marehemu Richard Kwitega, shughuli iliyofanyika mapema leo, kwenye uwanja wa Sheik Amri Abeid jijini Arusha.

Akitoa salamu za rambirambi mbele maelfu ya waombelezaji, wakiwemo wafanyakazi wa Idara na Taasisis malimbali za mkoa wa Arusha na mikoa ya Kanda ya Kaskazini, Mkuu huyo wa mkoa, licha ya kuhuzunishwa sana, na kifo cha Bwana Kwitega, amewataka waombolezaji hao kuyaishi matendo mema, aliyoyaishi marehemu Kwitega wakati wa uhai wake, kwa kudumisha upendo na ushirikiano mahala pa kazi.

Mheshimiwa Kimanta, amemuelezea Marehemu Kwitega, kuwa alikuwa ni mwenye mahusiana mazuri ya kikazi na kijamii katika eneo la kazi na kuongeza kuwa alikuwa ni kiungo na mhimili imara kati ya watumishi wa serikali, sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kiserika pamoja na vyama vya siasa na daima alihakikisha shughuli na mipango yote ya serikali inatekelezeka ndani ya mkoa wa Arusha kwa mafanikio makubwa sana katika sekta zote.

Kama nii kipuri cha gari, Kwitega niliweza kumuita 'shokomzoba',  alikuwa ni mhimili wa shughuli zote za mkoa wa Arusha, aliyefanyakazi bila kuchoka, bila ubaguzi, bila majungu na kumuheshimu mkubwa kwa mdogo. ninasema tangulia Richard, tangulia Richard, hii ni kazi ya Mungu, tunaamini na sisi tuko nyuma yako" Amesisitiza Mkuu wa mkoa kwa uchungu mkubwa.

Marehemu Richard Kwitwega, amefariki kwa ajali ya gari siku ya Jumatano tarehe 03.02.2021, eneo la Mdorli -Babati mkoani Manyara, akiwa njiani kuelekea mkoani Dodoma na mwili wake unasafirishwa leo kuelekea mkaoni Mwanza wilaya ya Sengerema kwa mazishi yatakayofanyika siku ya Jumamosi.

VITA UMEPIGANA NA KAZI UMEMALIZA, TANGULIA KWITEGA TUKO NYUAMYAKO.

PICHA ZA MATUKIO UWANJA WA SHEIK AMRI ABEID- JIJINI ARUSHA








Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.