• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC MAKONDA NA RAIS WA TFF WATETA KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YAMWANAMKE DUNIANI

Posted on: February 10th, 2025

RC MAKONDA NA RAIS WA TFF WATETA KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YAMWANAMKE DUNIANI


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, amekutana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, kujadili maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani leo tarehe 10 Februari, 2025.


Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika kwenye `Ofisi ya Mkuu huyo wa Mkoa, viongozi hao wamekubaliana kuweka msisitizo mkubwa katika michezo kama sehemu ya kuadhimisha siku hiyo muhimu ikiwemo kuandaa mashindano ya mpira wa miguu kwa wanawake, ambapo timu nne za wanawake zitashiriki, zikiwemo Simba Queens, Yanga Queens, JKT Queens na Fountain Gate FC.


Aidha, Viongozi hao wamekubaliana kawa, TFF itaweka banda maalum katika maadhimisho hayo ili kutoa elimu kuhusu maendeleo ya soka la wanawake na kuhamasisha ushiriki wa wanawake katika michezo mbalimbali.


Mbali na michezo, maadhimisho hayo yataambatana na Wiki ya Utoaji wa Huduma kwa Wanawake, ambapo sekta mbalimbali zinazohusiana na maendeleo ya wanawake zitashiriki kutoa huduma na elimu kwa wananchi wa Arusha na maeneo ya jirani.


Hata hivyo, Mhe. Paul Makonda amesisitiza kuwa lengo la maadhimisho hayo ni kuinua hadhi ya mwanamke katika nyanja mbalimbali, hususan michezo, afya, elimu na uchumi na kuwataka wadau mbalimbali kushirikiana kwa karibu kuhakikisha hafla hiyo inafanikiwa na kuleta matokeo chanya kwa jamii.


Kwa upande wake, Rais wa TFF, Wallace Karia, ameahidi kuwa shirikisho hilo litaendelea kuwekeza katika maendeleo ya soka la wanawake na kushirikiana na serikali na wadau wengine kuhakikisha mpira wa miguu kwa wanawake unapata msukumo unaostahili.


Maandalizi ya maadhimisho hayo yanaendelea, na wananchi wa Arusha wanatarajiwa kushiriki kwa wingi katika hafla hiyo ambayo itaadhimishwa Kitaifa 08 Machi, 2024 Mkoani Arusha.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.