• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RCC YAPOKEA OMBI NA PENDEKEZO LA KUFUTA MAMLAKA YA MJI MDOGO NGARAMTONI

Posted on: December 19th, 2024

RCC YAPOKEA OMBI NA PENDEKEZO LA KUFUTA MAMLAKA YA MJI MDOGO NGARAMTONI 

Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kimepokea mapendekezo kutoka Halmashauri ya Arusha yaliyojielekeza kufutwa kwa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Ngaramtoni kutokana na gharama kubwa za uendeshaji,Kikao kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Desemba 18, 2024.


Akiwasilisha mapendekezo hayo kwenye kikao hicho, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha, bwana Suleiman Msumi, amesema uamuzi huo unatokana na malalamiko ya wananchi ambao kwa muda mrefu wamedai gharama ya huduma za uendeshaji wa Mamlaka ya mji mdogo kuwa kubwa.


Amesema malalamiko hayo yalitolewa kwenye mikutano mbalimbali ya hadhara ikiwemo iliyofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Chtistian Makonda aliyembatana na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa (CCM) kwaajili ya kusikiliza kero za wananchi,ambapo mionhoni mwa kero, wananchi walilalamikia gharama kubwa uendeshaji wa Mamlaka ya mji mdogo na kuomba ifutwe.


Aidha, amebainisha kuwa, Halmashauri ilipokea malalamiko ya wananchi ambao walionyesha kuwa hawako tayari kuwepo kwa Mamlaka hiyo na kulazimu Halmashauri kuanza mchakato wa vikao vya maoni kuanzia ngazi za vijiji na hatimaye kuwasilishwa kwenye kikao cha Kamati ya fedha na Baraza la Madiwani na hatimaye kufikishwa kwenye kikao cha Ushauri cha Wilaya (DCC)


Msumi ameendelea kueleza kuwa, baada ya vikao hivyo kutoa pendekezo hilo, halmashauri imewasilisha kwenye kikao Kamati ya Ushauri Mkoa ili kuwasilisha ombi hilo Ofisi Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI )kwa hatua zaidi.


Akichangia hoja hiyo, Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Karatu Mhe. John Maha, ameomba halmashauri zao zipandishwe hadhi na kuwa manispaa kwa kuwa kuna faida zikipandishwa hadhi na kuwa manispaa.


Ameshauri iundwe Kamati ya Mkoa itakayokuwa ikipendekeza halmashauri kupandishwa hadhi na kuongeza kuwa hata Karatu nao wana Mamlaka ya mji mdogo.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.