• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SALAM ZA OFISI YA MKUU WA MKOA KWENYE MKUTANO BARAZA LA MADIWANI LA ROBO YA KWANZA JULAI - SEPTEMBA 2022

Posted on: November 5th, 2022

Na Elinipa Lupembe

Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha imetoa salamu kwa Wajumbe wa Baraza la Madiwani, halmashauri ya Arusha, wakati wa mkutano wa kujadili taarifa za robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Akitoa salam hizo kwa niaba ya RAS mkoa wa Arusha, CPA. Ramadhani Madegeka ameeleza kuwa, kama ilivyo malengo ya mkoa ni ukusanyi wa mapato, madiwani na wataalamu mnatakiwa kushirikiana katika suala zima la ukusanyaji wa mapato, halamshauri na mkoa uweze kufikia  malengo tuliyojipangia kwa mwaka.

"Bila kukusnaya Mapato hatutaweza kufikia malengo tuliyojipangia, niwatake waheshimiwa kuonheza nguvu kayika ukuapsanyaji wa mapato, hadi kufikia mwezi Oktoba, halmashauri imekusanya shilingi bilioni 1.2 sawa na asilimia 26 kutoka kwenye makisio ya shilingi bilioni  4.8 kwa mwaka wa fedha 2022/2023, ili kufikia  100 % lazima nguvu iongezeke".

Aidha amewataka waheshimiwa Madiwani kushiriki katiaka usimamizi wa miradi ya maendeleo, kwa kuwa kwa robo ya kwanza serikali kuu imetoa fedha nyingi za kutekelza miradi pamoja na asilimia 40 ya mapato ya ndani, hivyo madiwani mnawajibu wa kuzisimamia fedha hizo na miradi iweze kukamilika kwa wakati kwa kuzingatia ubora unaoendana na thamani ya fedha.

Mkoa unasisitiza kushitikiana kwa pamoja watalamu, madiwani na wananchi kwenye usimamizi wa miradi, kwa taratibu za matumizi ya force akaunti.

Serikali imetoa fedha za nje ya bajeti, milioni 760 za ujenzi wa madara 38  ya kidato cha kwanza mwaka 2023, madarasa yanatarajia kukamilia mwanzoni mwa mwezi Disemba, ushiriki wa madiwani ni wa muhimu sana"Amesisitiza Madegeka

Aidha amewataka madiwani kuzingatia suala la utawala bora kwamba kila Diwani anatakiwa kufuatilia mipango yote na utekelezaji wake na kuhakikisha kila kilichopangwa kufanyika kifanyike kulingana na bajeti iliyopangwa

Madiwani mnatakiwa kuzingatia mgawanyo wa matumizi kulingana na kanuni za matumizi ya mapato ya ndnai ya asilimia 40 utekelzaji wa miradi, asilimia 10 za mikopo kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu,na asilimia 50 ya matumizi ya kawaida, ili kuepeuka  migogoro isiyokuwa ya lazima na matumizi yasiyozingatia sheria.

ARUSHA DC
KaziInaendelea✍✍









Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.