• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YA SAMIA IMEFANYA MABORESHO KWENYE UTOAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

Posted on: October 27th, 2024

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imefanya maboresho kwenye utoaji wa mikopo ya asilimia 10% kwa makundi ya Vijana,Wanawake na Watu wenye Ulemavu,ambapo kwa upande wa Vijana maboresho ya umri yemezingatiwa kutoka miaka 35 mpaka 45.


Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi na utoaji wa Mikopo kwa vikundi vya Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mkuu wa Wilaya Arumeru Amir Mohamed Mkalipa alisema kuwa Serikali inayoongozwa na Dr.Samia Suluhu Hassan imesikia kilio cha Vijana wengi hususan kwenye kigezo cha umri kilichokuwa kizuizi kikubwa kwa vijana kutumia fursa hiyo yakujinufaisha na mikopo hiyo.


Aidha,Mh Mkalipa aliongeza kwa kusema kuwa kazi kubwa kwa vikundi vilivyokidhi vigezo ni kuhakikisha vinatumia vizuri fursa hiyo ili kujikwamua kiuchumi na pia vizingatia makubaliano ya kisheria katika kurejesha mikopo hiyo kwa wakati kama mkataba unavyoelekeza.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha ndugu Suleiman Msumi akimkaribisha Mkuu wa Wilaya wa Arumeru Mhe.Mkalipa ambaye alikuwa mgeni rasmi katika halfa hiyo, alisema kuwa Halmashauri ya Arusha kwa awamu hii itatoa mikopo yenye thamani ya milioni 982 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025 kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na wetu wenye Ulemavu.


Msumi aliongeza kwa kusema kuwa kiasi hicho cha shilingi milioni 982 kitagawanywa kwa makundi matatu ikiwa shilingi milioni 392,854,932 zitatolewa kwa Vikundi vya Wanawake ambapo ni sawa na asilimia 40%,huku shilingi milioni 392,854,932 sawa na asilimia 40% kitatoewa kwa vikundi vya Vijana na shilingi milioni 196,427,466.25 sawa na asilimia 20% zitatolewa kwa kundi la Watu wenye Ulemavu.


Aidha Halmshauri kwa siku ya leo tarehe 25/10/2024 imetoa fedha kiasi cha Shilingi milioni 792,952,500, Wanawake shilingi 390,912,000, Vijana wamepokea kiasi cha shilingi 363,040,500 na Watu wenye Ulemavu wamepokea kiasi cha shilingi 39,000,000. Fedha hizo ni kwaajili ya miradi yasekta ya Kilimo na Mifugo,usafirishaji na biashara.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.