• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YAKABIDHI VITI MWENDO KWA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU

Posted on: October 8th, 2022

Na Elinipa Lupembe

Serikali ya awamu ya sita, kupitia halmashauri ya Arusha imekabidhi viti mwendo vinne kwa wanafunzi wenye ulemavu kutoka shule nne zenye vitengo vya elimu maalum, viti ambavyo viwarahisishia wanafunzi hao shuguli zao binafsi  na zili za kimasomo kwa uhuru na amani.

Akizungumza wakati akikabidhi viti mwendo hivyo, kwa walimu wakuu na wazazi wa watoto hao, Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi amesema kuwa, msaada huo umepunguza changamoto ya watoto hao kutembea hasa wakiwa katika mazingira ya shule kutokana uwezo wao mdogo wa kutembea, jambo ambalo lilisababisha udhaifu katika kujifunza na kufundishika wawapo shuleni.

Aidha Mkurugenzi Msumi ametumia fursa hiyo kuwakaribisha wadau mbalimbali kujitokeza kusaidia wanafunzi wengine wenye uhitaji wa namna hiyo ili watoto hao waweze kutimiza ndoto zao.

“Tuna uhitaji mkubwa wa vifaa kwa ajili ya kuwahudumia hawa watoto wawapo shuleni, hivyo nitoe wito kwa yeyote atakayeguswa kutoa msaada akaribie katika ofisi zetu za halmashauri au katika mojawapo ya shule zenye watoto wenye uhitaji wa namna hiyo ili waweze kutoa msaada huo”. Alisisitiza Mkurugenzi Msumi.

Hata hivyo wazazi wa watoto hao waliopatiwa msaada, wameishukuru serikali kwa kuendelea kuwakumbuka wahitaji kwa kuwa sasa watoto hao wataendelea kupata elimu bila changamoto iliyokuwa inawakabili hapo awali ya kukaa pamoja na kusogea kutoka sehemu moja hadi nyingine.

“Ninamshuru Rais Samia Suluhu kwa kunipatia hiki kiti ambacho kitanisaidia kusoma bila changamoto, mama alinibeba kunipeleka shuleni, alikuwa anachoka sana, na wakati mwingine hakunipeleka, naamini nitatimiza ndoto yangu ya kuwa Mhasibu”. Amesema Catherine Paul, mtoto mwenye ulemavu wa darasa la 3 shule ya msingi Naurei

Kwa upande wao walimu wakuu wa shule hizo wameishukuru na kuipongeza serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwakumbuka na kuwajali watoto hususani wenye mahitaji maalum na kuahidi kushirikiana na wazazi wa watoto hao kuvitunza hivyo viti mwendo ili viweze kudumu na kuwasaidia wanafunzi hao kwa muda mrefu.

“Tunatambua na kuthamini kazi kubwa inayofanywa na serikali hasa kwa kutoa fedha ya chakula kila mwezi kwa watoto wenye ulemavu na sasa imeona umuhimu wa kuwaletea viti mwendo, licha ya kuwa uhitaji bado  ni mkubwa lakini tumepata sehemu ya kuanzia”. Alisema Mwl. Getruda Tarimo, Mwalimu Mkuu  shule ya Msingi Naurei.

Awali, halmashauri ya Arusha inakabiliwa na uhaba wa viti mwendo zaidi ya ishirini (20) katika shule nane zenye vitengo vya Elimu Maalum, pamoja na vifaa vingine kwa ajili ya kuwahudumia hao watoto.

ARUSHA DC

KaziInaendelea




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.