• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SOMO LA SHULE SALAMA NA WAJIBU WA MZAZI KATIKA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO LAWAINGIA WAZAZI KIJIJI CHA OLMAPINUU

Posted on: June 20th, 2023

Somo la Shule Salama na ulinzi na usalama wa mtoto kuanzia nyumbani mpaka shuleni limewaingia Wazazi wa kijiii cha Olmapinu, kata ya Bwawani, mara baada ya kupewa somo hilo na wataalamu wa halmashauri ya Arusha wakati wa ujenzi wa vyumba vya madarasa ya awali shule ya msingi Olokii.  


Wazazi hao wamekiri somo hilo limewaingia vema na kuwafumbua macho, mara baada ya kupata semina fupi kupitia programu ya Shule Salama inayosisitiza wazazi, walezi na jamii kushirikiana na walimu kuhakikisha ulinzi na usalama wa mtoto unanzia nyumbani, awapo njiani  mpaka kufika shule, mtoto huyu anatakiwa kulindwa dhidi ya ukatili wa aina yoyote ile.

Lazaro Loserian amekiri kuona umuhimu wa wazazi na jamii nzima kushirikiana kumlinda mtoto, kutokana na ukweli kwamba, kulingana na ukubwa wa kijiji chao, mtoto hutembea maeneo hatarishi kutoka nyumbani mpaka kufika shuleni, jambo ambalo jamii inalo jukumu la kuhakikisha ulinzi na usalama wa mtoto. 

"Maeneo yetu yana mashamba makubwa, hata mzazi ukimlinda mtoto nyumbani  na mwalimu akamlinda shuleni bado kuna changamoto ya usalama wa mtoto akiwa njiani kuelekea shule ama kurudi nyumba, ni vema jamii nzima tuungane kuahikisha usalama wa watoto wetu katika maeneo yote" Amesema Loserian    

Naye Rashi Hassan amekiri kuwa licha ya kumpa mtoto mahitaji yake muhimu ya shule bado kunahitajika nguvu ya kumlinda mtoto dhidi ya ukatili.

"Somo hili limetupa uelewa mkubwa juu ya Usalama wa Mtoto, licha ya kuwapa watoto mahitaji yote lakini tusipomlinda ni kazi bure, tutaungana kuwalinda watoto watimize ndoto zao, tunahitaji wasomi na watalamu kutoka kijijini kwetu Olmapinuu" Amesisitiza Hassan      

Ndikonyi Ndaya amefafanua kuwa, Serikali inatekeleza jukumu lake la kujenga shule na madarasa mazuri, lengo likiwa watoto wapate elimu na kupata watalamu wa fani mbalimbali, ili kufikia lengo la serikali wazazi na jamii tunalo jukumu la kuhakikisha Shule Salama kwa kuwalinda watoto wote dhidi ya ukatili.

"Shule yetu haina bweni, kama wazazi na walezi tutahakikisha mtoto huyu analindwa, progam ya shule salama imetufungua macho, tutahakikisha majengo haya ya shule yanatoa watalamu kwa kuhakikidha usalama wa mtoto" Amesisitiza Ndaya


Watalamu wa halmashauri kupitia wanatoa elimu kwa jamii juu ya ulinzi na usalama wa mtoto kupitia programu ya Shule Salama inayotekelezwa kupitia miradi ya ujenzi wa shule za awali na miradi ya GPE- LANES II.


Kumbukwe kuwa imetoa fedha kiasi cha shilingi Milioni 115.6 kwa awamu mbili  kupitia miradi ya GPE - LANES II kwa ajili ya kutekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu ya  shule mbili za Msingi za Msingi Ngorbob kata ya Matevesi na shule ya Msingi Olokii kata ya Bwawani.





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.