• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SOS KUANDAA NGORONGORO RACE MARATHON KUPATA FEDHA ZA KUWAHUDUMIA WATOTO WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI..

Posted on: October 8th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Shirika la SOS Tanzania kwa kushirikiana na Meta Sport limeanza mchakato wa maandalizi ya mbio za Ngorongoro Race Marathon ili kupata fedha za kuwahudumia watoto wenye mahitaji na waishio kwenye mazingira magumu mkoani Arusha.

Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Arusha, Meneja wa Mradi mkoa wa Arusha,  Noa Mwakaragwa amesema kuwa, mbio hizo zinatarajiwa kufanyika tarehe 26 Novemba 2023 wilaya ya Karatu, zikiwa na lengo la kukusanya shilingi milioni 160 kwa ajili ya kuwahudumia watoto waishio kwenye mazingira hatarishi.


Amesema kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, hivyo shirika limewiwa kushirikiana na wadau wengine kutafuta fedha za  kukabiliana na  changamoto zinazowakabili watoto na ikiwezekana kudhibiti tatizo hilo lisiendelee kutokea.


"Shirika la SOS linajihusisha na malezi ya watoto ya kifamilia kupita vituo vyake vya watoto nchini, kwa kutambua umuhimu wa mtoto kuishi kwenye familia, kupitia fedha zitakazopatikana, shirika limeandaa mifumo itakayohakikisha watoto hawaingi tena mitaani bali wanalelewe kwenye familia, kupitia walezi wa kuaminika ili wapate malezi bora na kuweza kuzifikia ndoto zao kama ilivyo watoto wengine" Ameweka wazi Mwakaragwa


Naye Mkurugenzi wa fund raising Emmanuel Sanga, ameweka wazi utaratibu wa mbio hizo Mbio zenye  ubora mkubwa ambapo kila mshirikia atajisajili kwa shilingi elfu 35 na  zitajumuisha mbio za

Km 21, Km 10 na Km 5 huku  Km 2.5 zitakuwa kwa ajili ya watoto, na watajisajili bila malipo.


"Tunawakaribisha watu wote kushiriki Mbio hizi,  zitakazofanyika Karatu na tunategemea kushiriki zaidi ya watu elfu tatu, ikiwemo  watu binafsi, mashirika ya umma, dini, binafsi, taasisi pamoja na makampuni lengo likiwa ni kupata fedha kwa ajili ya uendeshaji wa program za maalezi ya watoto waishio kwenye mazingira hatarishi wilaya ya Karatu" Amebainisha Sanga.


Naye Katibu wa chama cha Riadha mkoa wa Arusha, Rogan Steven licha ya kulipongeza shirika la SOS kwa kugusa jamii kupitia mchezo wa riadha, ameahidi chama hicho kutoa ushirikiano kwa kuhamsisha wanariadha kushiriki kwa wingi pamoja na kuhamasisha wananchi kushiriki kwa wingi mbio hizo zinazogusa jamii moja kwa moja.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.