• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TAARIFA YA ROBO YA NNE 2022/2023 YA KUANZIA APRILI MPAKA JUNI 2023 KATA YA BWAWANI.

Posted on: August 2nd, 2023

Na Elinipa Lupembe.


Diwani wa viti Maalum Mhe. Grace Seneu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo za kata ya Bwawani kwa kipindi ya robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 ya kuanzia mwezi Aprili mpaka Juni 2023.


Akiwasilisha taarifa hiyo Mhe. Grace ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongwa na mama Samia kwa kuwapa fedha nyingi zilizotekeleza miradi ya maendeleo kwa awamu hiyo ikiwemo shilingi milioni 81.3 za ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa, kupitia miradi ya BOOST, milioni 350 kujenga kituo cha afya kupitia fedha za TASAF, shilingi milioni 57.8 za  ujenzi wa darasa la awali kupitia fedha za mradi wa GPE - LANES II.


Licha ya mafanikio mengi Mhe. Grace amezitaja changamoto zinazoikabili kata hiyo ni pamoja na ubovu wa miundombinu ya barabara na madaraja unaotakana mvua za masika, na kumuomba mkurugenzi wa halmashauri kupeleka mitambo ili kunusuru tatizo hilo la barabara wakati wakisubiri TARURA kufanyia kazi barabara hizo.


Aidha amezungumza kwa masikitiko makubwa juu ya ukosefu wa nyumba za walimu kwa shule za msingi na sekondari, unaosababaisha watumishi hasa walimu kushindwa kuishi Bwawani kutokana na ukosefu huo wa nyumba.


"Tunafahamu mazingira ya Bwawani na magumu ni vema serikali kuweka kipaumbele kwa kuwekeza kwenye ujenzi wa  nyumba za watumishi hususani walimu ili wawezesha watymishi kukaa Bwawani, hali ngumu inawafanya walimu kutafuta uhamisho pind8 wanaponagiwa kufanya kazi pale."Amesema Mhe. Grace


Hata hivyo Mhe. Grace ameishukru serikali kupitia REA kwa kuweka umeme kwenye vijiji vya Bwawani na kuomba kuendelea kukamilisha kwenye vitongoji ambavyo bado havijapata umeme na kuongeza kuwa wananchi wa Bwawani wanapenda maendeleo hivyo uwepo wa umeme, utaharakisha maendeleo ya wananchi wa kata hizo.


Mkutano huo umefanyika kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani la kujadili taarifa za Kata, uliofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano halmashauri ya Arusha.






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.