• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TANZANIA NA MISRI ZASISITIZA KUKUZA USHIRIKIANO

Posted on: February 13th, 2025

TANZANIA NA MISRI ZASISITIZA KUKUZA USHIRIKIANO


Serikali za Tanzania na Misri zimekubaliana kukuza ushirikiano wa kiuchumi kwa maslahi ya pande zote mbili kwa kuimarisha sekta ya usafirishaji, nishati, ujenzi wa miundombinu, uchukuzi, biashara na uwekezaji, kilimo, mifugo na uvuvi.

Makubaliano hayo yamefikiwa wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahamoud Thabit Kombo alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Mhe. Badr Abdelatty pembezoni mwa Kikao cha 46 cha Baraza la Mawaziri la Umoja wa Afrika kinachoendelea jijini Addis Ababa, Ethiopia.


Viongozi hao wamejadili juu ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa na nchi hizo na kuahidi kuongeza jitihada ya kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati ili kufikia malengo ya miradi husika. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere.


Viongozi hao pia, wamezungumzia umuhimu wa kuimarisha usafirishaji na uchukuzi kwa kukuza uwezo wa bandari pamoja na kuwa na usafiri wa uhakika wa majini na reli kwa ajili ya kuruhusu usafiri wa bidhaa, huduma na watu.


Pia wamesisitiza umuhimu wa ushirikiano katika masuala ya elimu pamoja na kuendelea kukuza mpango wa ziara za kimasomo kwa wanafunzi wa mafunzo ya muda mrefu na mfupi ili kukuza uwezo na kujengeana uzoefu katika masuala mbalimbali ya kitaaluma.


Kupitia mazungumzo hayo suala la kuitishwa kwa mkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Misri limetiliwa mkazo ambapo kumbukumbu zinaonesha kuwa mkutano huo kwa mara ya mwisho ulifanyika mwaka 2018 hivyo wamewasisitiza watalaam wa pande mbili kuhakikisha maandaliziya mkutano huo yanaanza na kukamilika kwa wakati.


Viongozi hao pia wamesisitiza umuhimu wa maonesho ya biashara katika kukuza mtandao wa biashara kikanda na kimataifa pamoja na makongamano ya biashara katika kukuza mtandao wa mawasiliano ya kibiashara.


Kwa pamoja nchi hizo zimekubaliana kushirikiana katika majukwaa ya kikanda na kimataifa kwa kuunga mkono ajenda zenye maslahi kwa pande zote kwa maendeleo endelevu ya wananchi.


Aidha viongozi hao wameelezea umuhimu wa kuandaa na kufanya ziara za viongozi wa ngazi za juu kwa lengo

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.