• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TIMU YA WATAALAM WA MASUALA YA UTAFITI WA AFYA YA UDONGO KUTOKA WIZARANI WATUA ARUSHA DC

Posted on: February 23rd, 2025

Timu ya Wataalam wa masuala ya Utafiti wa Afya ya udongo toka Wizara ya Kilimo yatua Mkoani Arusha kwajili ya tafiti za masuala ya kilimo.


Ziara hiyo ya Kitafiti ina lengo la kuweza kuainishi aina ya udongo na aina gani sahihi ya mbolea inayopaswa kutumiwa na wakulima, kwani miaka ya hivi karibuni baadhi ya wakulima wamekuwa wakitumia mboleo pasipo kuzingatia elimu ya tafiti za afya udongo.

Akizungumza katika kikao hicho,Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Kilimo Mhandisi Makoli Godwini amesema zoezi la upimaji wa Afya ya udongo ni la Nchi nzima na lilianzia Mkoa wa Ruvuma na sasa wapo Mkoa wa Arusha.


Amesema zoezi hilo linahusisha kuchukua sampuli za udongo kwenye maeneo tofauti kwenye Kata mbalimbali ndani ya Mkoa wa Arusha na kuzipeleka maabara na matokeo ya tafiti hizo yatarejeshwa kwa Wakulima na Wafugaji ili ziweze kuwasaidia katika kujua aina gani ya mbolea ifaayo kutumika katika shughuli zao za kilimo.


Kwa upande wake,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha,bwana Seleman Msumi amepongeza hatua ya Serikali chini ya Wizara ya Kilimo kwa kuja na mpango wa kuwasaidia Wakulima na Wafugaji kwa kufanya tafiti zitakazo leta matokeo chanya katika uzalisha wa mazao ya biashara na chakula.


" Mpango unaenda kuwa suluhisho la mkulima kuhangaika na matumizi holela ya mbolea, kwani ilifika mahala mkulima anatumia mbolea bila kujua aina gani ya mbolea inafaa kwa udongo upi,,kitu hiki kilisababisha watu wetu kupata mazao hafifu." Alisema Msumi.


Zoezi hilo linaanzia katika Halmashauri ya Arusha kwa kuzitembelea Kata mbalimbali na kuchukua sampuli ya udongo kisha litaendelea katika Halmashauri nyinginezo za Mkoa wa Arusha kabla ya kwenda Mikoa ya Kilimanjaro na Manyara.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.