*TANZANIA NI MOJA TU, TUNZA MAZINGIRA;
Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Selemani Msumi, anawakaribisha wananchi wote kushiriki Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira.
Maadhimisho yatafanyika tarehe 06.06.2022, kwenye viwanja vya shule ya Msingi Nduruma kata ya Nduruma.
Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo ni Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhe. Mhandisi Richard Ruyango.
ARUSHA SAFI, INAWEZEKANA
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.