• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIJANA 92 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ARUMERU

Posted on: December 22nd, 2022

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango leo ameitimisha Mafunzo ya Jeshi la Akiba (Mgambo) kwenye hafla iliyofanyika Kata ya Bwawani Halmashauri ya Arusha.

Katika hafla hiyo jumla ya vijana  92 kata ya vijana 147 waliandikishwa kuanza mafunzo hayo tarehe mapema mwezi Agosti, 2022 huku wanawake wakiwa 10 na wanaume 82.

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, Mkuu wa wilaya ya Arumeru amewaasa vijana wote waliomaliza mafunzo hayo, kuwa watii na wazalendo kwa Taifa lao na kuhakikisha wanatumia maarifa waliyoyapata kuendeleza amani na utulivu katika nchi hii.

Aidha amewakumbusha utii kwa viongozi wote na kwa kuwa Mhe.Rais Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan  ameweka mfumo mzuri wa majeshi ya Ulinzi na wao kwa sasa ni sehemu ya Ulinzi wa Taifa.

"Tumieni mafunzo haya kulitumika Taifa na zaidi katika kulinda raia na mali zao na siyo kuvunja sheria za nchi,  kwa serikali imewaamini na kuwapa mbinu za ulinzi na usalama wa raia, hiyo jukumu lenu kubwa ni kuwatumikia wananchi". Amesema Mkuu huyo wa Wilaya

Mkufunzi wa Mgambo Wilaya ya Arumeru Meja Khamis licha ya kumshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kukubali kuja kufunga Mafunzo hayo amewapongeza wakufunzi wote waliofanikisha Mafunzo ikiwa ni pamoja na kuitaka jamii kuwapa vijana hao ushirikiano pindi watakaporudi katika maeneo yao.

Ameongeza kuwa, vijana hao 92 pamoja na mafunzo ya Kijeshi waliopata, walipata pia mafunzo kutoka Jeshi la Uokoaji na Zima Moto, Takukuru, Mafunzo ya Kareti, Mafunzo ya Jeshi la Uhamiaji na Mafunzo ya Kupambana na Dawa za Kulevya, mafunzo ambayo yamewapa mbinu na maarifa ya ulinzi wa raia na mali zao.

Wakisoma Risala yao kwa mgeni sasmi, vijana hao wameiomba serikali kuupa fursa ya mafunzo hayo mara kwa mara ili kukuza na kuendeleza maarifa na ujuzi katika kazi.

Aidha wakaiomba serikali kuwaunganisha na mashirika na makampuni ya ulinzi ili waweze kupata ajira pamoja na kuwapa kipaumbele kwenye kazi maalumi za serikali kama vile uchaguzi, wakati wa mitihani.

Hata hivyo, Taasisi za Ulinzi zikiongozwa na SUMA JKT Sajenti Ndege,  amemuahidi mkuu wa wilaya kuwachukua  vijana 50 ili kuwapatia ajira kwenye kampuni ya SUMA JKT inayomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa.


Katika sherehe hizo mkuu wa wilaya aliambatana nawajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, viongozi wa halmashauri za Arusha na Meru, viongozi wa Chama,  viongozi wa dini na wa siasa pamoja na wananchi wa halmashauri zote mbili

ARUSHA DC

KaaiInaendelea ✍


PICHA ZA MMATUKIO





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.