• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIJANA ARUSHA DC WAISHUKURU SERIKALI KWA MIKOPO ISIYO NA RIBA

Posted on: July 6th, 2025

Vijana Halmashauri ya Arusha, wameendelea kuishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Dkt.Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan kwa kuwapa vijana mikopo isiyokuwa na riba kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri zao.


Wakizungumza mbele ya Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ali Ussi @comred_suma vijana watano wa Kikundi cha cha Shine Youth Group, wameishukuru Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi kupitia mikopo isiyokuwa na riba na kukabiliana na changamoto ya ajira.


Katibu wa kikundi hicho, Steven Mashuve amesema kuwa kikundi hicho kilichopo kata ya Mlangarini kijiji cha Kiseriani kinajishughulisha na utengezaji samani, kilianza kwa kusuasua kwa mtaji wa ahilingi milioni 1.2 na baada ya kupewa mkopa shilingi milioni 10 licha ya kuanza kurejesha mkopo lakini bado wanapata faida ya biashara yao.


"Tunamshukuru Rais wetu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha kwa kutupa mkopo wa shilingi milioni 10, umetuwezesha kukuzamtaji wetu wa kutengeneza na kuuza samani za ndani, kazi ambayo ndio inatusaidia kuimarisha uchumi wetu na familia zetu huku tukipata fedha za kujikimu kimaisha".Wamesema vijana hao


Akizungumza mara baada ya kukagua na kuridhishwa na mradi huo, Ndugu Ussi amewapongeza vijana hao kwa kichangamkia fursa na kupata mikopo isiyokuwa na riba ya 10% inayotolewa na Halmashauri kupitia mapato yake ya ndani na kuifanyia kazi huku wakirejesha kwa wakati.


Aidha, amewasisitiza vijana wengine kuiga mfano wa vijana hao, kuchangamkia fursa hiyo ya mikopo inayotolewa na Serikali, mikopo ambayo haipatikani kwenye taasisi nyingine za kifedha.


KAULI MBIU: "Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, kwa Amani na Utulivu" 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA August 14, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA BW. SELEMAN MSUMI AWASHONEA SARE MADEREVA WA HALMASHAURI HIYO

    October 02, 2025
  • WIZARA YA KILIMO KUPITIA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO (COPRA) YAZINDUA RASMI MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PARACHICHI KWA MWAKA 2025/2026

    September 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MWINYI AHMED MWINYI AHITIMISHA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT)

    September 21, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA AWAASA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA USAFI

    September 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.