• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIJANA SEKONDARI MUKULAT,  WAAINISHA VIKWAZO VYA KUFIKIA NDOTO ZAO.

Posted on: February 20th, 2021

Na Elinipa Lupembe.

.Vijana shule ya sekondari Mukulat, halmashauri ya Arusha, wamekiri kuwa na ndoto na malengo makubwa katika maisha yao ya sasa na yajayo, lakini wametambua vikwazo na changamoto zinazokwamisha ndoto hizo ni pamoja na uelewa mdogo juu ya mabadiliko yao binafsi ya kimwili na kitabia yanayotokana na makuzi yanakuwa ni kikwazo kwa vijana wengi katika kufikia ndoto na malengo yao.

Wakizungumza wakati wa mdahalo juu ya afya ya uzazi kwa vijana, uliofanyika shuleni shuleni hapo mwishoni mwa wiki ukishirikisha watalamu na wanafunzi, vijana hao wameainisha baadhi ya changamoto na vikwazo, vinavyochangia kupotez andoto na malengo ya vijana wengi nchini ni pamoja na mimba na ndoa za utotoni kwa wasichana, uvutaji wa bangi, matumizi ya dawa za kulevya pamoja na ulevi katika umri mdogo, mambo ambay ni sugu na yanasababisha vijana wengi kutokufikia ndoto na malengo yao.

Hata hivyo vijana hao wamefafanua kuwa licha ya kuzitambua changamoto hizo, wanahitaji mbinu salama za kukabiliana nazo, huku wavulana wakisistiza uhitaji mkubwa wa mbinu za kukabiliana na mihemko ya ujana ili kuepuka kujiingiza wao na kushawishi wasichana kujiingiza kwenye ngono katika umri mdogo.

Denis Laurance, mwanafunzi wa kidato cha 3, amefafanua kuwa, elimu ya Afya ya Uzazi kwa vijana inahitajika sana kwa vijana na kuongeza kuwa wao, wameanza kujitambua mara baada ya kupata fursa ya kushiriki mafuzno yanayotolewa shuleni hapo pamoja na kutumia program ya Huduma Rafiki kwa Vijana inayotolewa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, huduma ambayo imekuwa ni suluhisho kwa vijana wengi sasa.

"Tunapofundishwa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana, inyotupa mbinu ya kukabiliana na mabadilikonya kimwili katika makuzi yanayopelekea mihemko na hisia, inatusaidia kukabiliana na changamoto hizo na tunamiini vijana wengi sasa watatimiza ndotozao tofauti na hapoa awali"amesema Denis.

Halmashauri ya Arusha kwa kushirikia na na shirika la Jhepeigo Tanzania inatekeleza mradi wa Afya ya Uzazi kwa vijana na Huduma Rafiki kwa Vijana, kwa ufadhili wa mfuko wa Bill&Melinda Gate wa nchini Marekani, umekuwa chachu ya mabadiliko chanya ya kitabia kwa vijana wa kisasa wa halamshauri ya Arusha.

YOUTH to the moon

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.