• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIONGOZI WA MILA, DINI & SIASA TARAFA YA ENABOISHU WAKIRI SENSA ARUMERU KUFANYIKA PASI SHAKA

Posted on: August 16th, 2022

Na Elinipa Lupembe

Viongozi wa makundi ya kijamii tarafa ya Enaboishu,  wakiwemo viongozi  dini, mila, siasa na wamebainisha kuwa Zoezi la Sensa ya watu na makazi katika maeneo yao litafanyika pasi shaka, kwa kuwa viongi hao wamehamasisha wananchi wao vya kutosha.

Viongozi hao wamemthibishia hayo Mwenyekiti wa Kamati ya Sensa wilaya na Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhandisi Richard Ryango, wakati wa kikao kazi cha kuhamsaisha Sensa ya watu na makazi, tarafa ya Enaboishu,,kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano, halmashauri ya Arusha.

Viongozi hao wamweka wazi kuwa, serikali imeweka mikakati mizuri ya kuifanya Sensa ya 2022  kuwa shirikishi kwa kutumia majukwaa mbalimbali  kuelimisha na kuhamasisha watanzania umuhimu wa kushiriki Sensa kwa maendeleo ya Taifa.

Aidha wamempongeza mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwa mstari wa mbele kuelezea umuhimu wa sena na umuhimu wa watu kuhesabiwa kwa maendeleo ya Taifa la Tanzania.

Zakayo Mollel, mzee msahuri wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, amethibitisha kuwa Sensa ya mwaka 2022, ni tofauti na sensa nyingine, serikali imetumia majukwaa mengi kuelezea umuhimu wa sensa hii,

"Sisi kama kanisa, kila inapofanyika ibada lazima suala la sensa lihamasishwa, tunakuhakikishia mheshimiwa mkuu wa wilaya, hakuna mtu ambaye hatajesabiwa katika maeneo yetu kwa kuwa kila mtu kwa nafasi yake wa kusikia amesikia na wa kuelewa ameelewa, tuko tayari kuhesabiwa" Amesisitiza Mzee Zakayo Mollel

Naye Shekhe wa Msikiti wa RAHMA Moivo, amesema kuwa, imani ya dini ya kiislamu inaamini sensa ni tukio muhimu kwa maisha ya mwanadamu, kila tunapofanya ibada tunawahamasisha wananch kuhesabiwa, hivyo tunahikia watu watanzania wote watahesabiwa.

Naye Diwani wa kata ya Kimnyaki Mhe. Eliakim Marivei   serikali imefanya kazi kubwa sana, kuhakikisha zoezi la sensa ya watu na makazi litafanyika kwa ufasaha na kuongeza kuwa wao kama viongozi wananchi wanaunga mkono juhudi hizo na watasimamia katika maeneo yao kuhakikisha kila mtu aliyelala katika maeneo yao usiku wa kuamkia siku ya sensa anahesabiwa.

Hata hivyo mzee wa mila wa kabila la kimaasai Tarafa ya Enaboishu, Mzee Longishu Mollel, amesema kuwa wananchi wamehamasika na sensa ya mwaka huu, na wao kama viongozi wanaendelea kuhamasisha na kuhahakikisha zoezi hili linafanyika kama yalivyo malengo ya serikali.

Awali Mwenyekiti wa Sensa ya Watu na Makazi wilaya ya Arumeru, Mhandisi Richard Ruyango, amepata wasaa wa kuwaelezea viongozi hao, umuhimu wa wao kama viongozi kushiriki zoezi zima la Sensa  ya watu na makazi.


SHIRIKI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022

JIANDAE KUHESABIWA 23.08.2022










Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.