• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAALIMU IMARISHENI USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI NCHINI

Posted on: July 12th, 2024

WAALIMU IMARISHENI USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI NCHINI


Ofisi ya Rais - Tamisemi


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Adolf Ndunguru amewaagiza walimu wakuu wa shule za msingi chini kuhakikisha wanaimarisha usimamizi wa ufundishaji na ujifunzaji kwa kuongeza ubunifu katika utatuzi wa changamoto za ujifunzaji kwa wanafunzi.


Ndunguru ametoa maagizo hayo leo Julai 11,2024 jijini Mwanza wakati akifunga mafunzo kwa walimu wakuu na maafisa mazingira kuhusu miongozo ya ujenzi wa miundombinu ya shule, usalama wa mazingira na jamii na taratibu za ununuzi wa umma.


Amesema Serikali imeanza kutekeleza. itaala ya elimu iliyoboreshwa inayosisitiza utolewaji wa elimu itakayomwezesha mwanafunzi kupata ujuzi ili aweze kujitegemea na kuliletea Taifa maendeleo hivyo ni wajibu wa kila walimu kuhakikisha anatimiza majukumu yake kikamilifu.


Pia amewaelekeza walimu wakuu wote nchini kuhakikisha wanaweka mazingira wezeshi yatakayowasaidia walimu kushiriki kikamilifu Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA) katika ngazi ya shule na vituo vya walimu ili kuboresha ufundishaji.


“Serikali imedhamiria kuboresha ufundishaji kupitia Mpango wa mafunzo endelevu kazini, hivyo nitumie fursa hii kuwaelekeza walimu wakuu wote nchini kwa kushirikiana na Wakurugenzi wa Halmashauri kuweka mazingira rafiki yatakayowawezesha walimu kushiriki kikamilifu katika MEWAKA na kuwapa usaidizi unaohitajika” amesema Ndunguru


Amesema kuwa uwepo wa mazingira salama na rafiki kunamuwezesha mwanafunzi kujifunza kwa ufasaha hivyo amewataka walimu hao kuweka mifumo na mikakati ya kuwalinda watoto dhidi ya unyanyasaji na ukatili wa aina yoyote.

Amewataka kuhakikisha klabu za wanafunzi zinahuishwa na wanafunzi kujengewa uwezo wa kujitambua, kujieleza, kujiamini na jamii ishirikishwe katika kuweka utaratibu wa kubaini na kushughulikia masuala ya ukatili, unyanyasaji na malalamiko.


Aidha, amewataka kuhakikisha wanasimamia ukamilishaji wa ujenzi wa miundombinu ya shule kwa wakati huku ujenzi huo ukiendana na thamani ya fedha iliyotolewa na Serikali ili kuweza kuleta manufaa kwa taifa na kutimiza vigezo vya kupata fedha,

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.