• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAFANYABIASHARA ARUSHA WAIOMBA SERIKALI KUTUPIA MACHO BAADHI YA SHERIA ZA KODI

Posted on: January 28th, 2025

WAFANYABIASHARA ARUSHA WAIOMBA SERIKALI KUTUPIA MACHO BAADHI YA SHERIA ZA KODI

Baadhi ya wafanyabiashara wameiomba Serikali kuangalia zaidi utitiri wa sheria za kodi zinazowakandamiza ikiwemo ushuru wa huduma (Service Levy) unaotozwa kwenye Halmashauri mbalimbali nchini ili kuondoa usumbufu kwa wafanyabiashara wanaolipa kodi Serikalini.


Wakitoa maoni yao mbele ha Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi inayoongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Balozi Ombeni Sefue wafanyabiashara hao pamoja na wadau mbalimbali wamesisitiza uthamini wa biashara za watanzania hata kwa kuzingatia aina za biashara.


Wafanyabiashara hao akiwemo Mwenyekiti wa Chama cha Wataalam wa Kodi Tanzania Kanda ya Kaskazini, Nicholas Duhia pamoja na Adolf Locken ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Wasafirishaji wa Abiria Moose wa Arusha (AKIBOA ) wamesema wao kama Chama waliwasilisha maoni yao kwa Tume hiyo kuhusu sheria za mbalimbali za Kodi inayotozwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) huku wakiomba kodi ya huduma ishuke kutoka asilimia 3 hadi kufika 0.1 kulingana na huduma walizotoa.


"Kila Halmshauri ina malipo yake katika ulipaji wa ushuru wa huduma, hii ni kero lakini wamiliki wa hoteli wameongezewa kodi ya huduma ya takataka wakati magari ya kuzoa taka ni machache hivyo kodi hizi ziwekwe katika dirisha moja ili walipaji walipe kodi kwa kiwango kiridhishi na si kodi kubwa tofauti na ukubwa wa biasgara ya mtu".


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi,Balozi Ombeni Sefue amewasihi wafanyabiashara hao kutoa mawazo yao ili kumsaidia Rais Dkt. Samia Hassan Suluhu kuja na mpango mzuri wa ukusanyaji wa kodi nchini ambao utakuwa ni rafiki kwa pande zote mbili.


"Hakuna mtu yoyote atakayesumbuliwa wakati wa utoaji maoni juu ya ukusanyaji wa mapato hayo lakini Tanzania bado tupo nyuma katika ukusanyaji wa mapato tupo kwenye asilimia 12 lakini sasa tunahitaji kukusanyaji zaidi ya asilimia 15-16 ya mapato kwa nchi za Afrika ikiwemo Tanzania "


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA August 14, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KUFUATILIA NA USAMIZI WA HAKI ZA MTOTO KATIKA JAMII NI JAMBO MUHIMU

    August 25, 2025
  • RAIS SAMIA AMUAPISHA AMOS MAKALLA KUWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    August 26, 2025
  • DKT. JAHANNES LEMBULUNG' LUKUMAY ACHUKUWA FOMU YA UGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA ARUMERU MAGHARIBI

    August 25, 2025
  • KIKAO KAZI CHA WENYEVYITI WA BODI NA WATENDAJI WAKUU WA TAASISI ZA UMMA (CEOs Forum 2025)

    August 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.