• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAKALA WA BARABARA VIJIJINI TARURA WATAKIWA KUTATUA KERO YA MIUNDO MBINU NA KUUNGANISHA VITONGOJI KWA VIVUKO

Posted on: August 11th, 2024

WAKALA WA BARABARA VIJIJINI TARURA WATAKIWA KUTATUA KERO YA MIUNDO MBINU NA KUUNGANISHA VITONGOJI KWA VIVUKO.


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha ndg Thomas Loy Sabaya amewataka Viongozi wa Wakala wa barabara Vijijini (TARURA) kuhakikisha kuwa wanatatua changamoto ya miundombinu iliyoharibiwa na mvua za masika kufanya haraka kuunganisha vivuko vilivyokuwa vikiunganisha Vitongoji kwa Vitongoji ili wananchi waendelee kupata mawasiliano kama ilivyokuwa awali.


Ndugu Sabaya ameyasema hayo alipokuwa kwenye mwendelezo wa ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kata ya MOIVO alipokuwa akipokea na kusikiliza kero za wananchi wa kata hiyo.


Akiwa kata hiyo,Mwenyekiti huyo wa CCM Mkoa wa Arusha amewakumbusha viongozi wa Chama na Serikali kuwa majukumu yao ya msingi ni pamoja kusikiliza na kutatua kero za wananchi wanaowangoza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama likiwemo jeshi la Polisi.


Aidha,ndugu Sabaya amewataka wananchi kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuhakikisha Kata ya Moivo wanapambana kupiga vita dawa za kulevya ikiwemo bangi na kuwa ajenda huvyo inapaswa kuwa ya kudumu kwanini athari za matumizi ya dawa hizo kwa vijana ni hatari kwa nguvu kazi ya Taifa.


Sambamba na hilo,Ndugu Sabaya aliitaka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA), TANESCO NA TARURA kufika katika Kata ya Olmotony kutatua changamoto ya huduma ya Maji , Umeme na Miundombinu ya barabara inayowakabili wananchi wa Kata hiyo.


Naye Mwenyekiti wa Halmashaurii ya Wilaya ya Arusha Dkt.Ojung'u Salekwa aliyembatana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa katika Ziara hiyo alimshukuru Mwenyekiti wa CCM Mkoa kuwa sehemu ya ziara hiyo kwani kuna mengi amejifunza na kuahidi kusimamia Miradi yote ya Maendeleo kwa Ubora na hasa kuangalia thamani halisi ya vifaa vinavyonunuliwa.


Pamoja na mambo mengine Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha amewataka wananchi kuhakikisha wanalinda na kutunza Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekezwa kwenye maeneo yao ,ili iweze Kudumu na kusaidia Jamii Kama ilivyokusudiwa

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.