• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WATAKAOSHINDWA KUTEKELEZA UJENZI WA MIRADI YA AFYA KUCHUKULIWA HATUA..

Posted on: September 9th, 2023

 Na: James Mwanamyoto-OR-TAMISEMI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema hatosita kumchukulia hatua Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri ambaye atabainika kushindwa kutekeleza kikamilifu ujenzi wa miradi ya miundombinu ya afya ili kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi.


Mhe. Mhechengerwa amesema hayo leo wakati wa kikao kazi na watumishi wa Idara ya Afya, ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais-TAMISEMI kilicholenga kujadili utekelezaji wa majukumu ya idara hiyo pamoja na kuhimiza uwajibikaji.


Mhe. Mchengerwa amemuagiza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI kuwataka Wakurugenzi wote wa Halmashauri kujipanga kikamilifu  kusimamia utekelezaji wa  miradi ya ujenzi wa miundombinu ya afya kwa wakati.


Mhe. Mchengerwa amesema kuwa, kama kuna halmashauri imepelekewa fedha na kubainika kushindwa kukamilisha kikamilifu ujenzi wa miradi ya miundombinu ya afya, hatosita kumsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi.


“Nipatieni orodha ya wote walioshindwa kukamilisha miradi, wabadhilifu wa fedha za miradi, waliojenga chini ya kiwango na wale ambao wamepelewa fedha lakini bado zipo kwenye akaunti ili niwachukulie hatua za kinidhamu bila kuchelewa,” Mhe. Mchengerwa amesisitiza.


Mhe. Mchengerwa amewahimiza watendaji wanaosimamia ujenzi wa miradi ya miundombinu ya afya kufanya kazi kwa bidii na weledi kwani haofii kuchukiwa na wale atakaowawajibisha kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo.


Aidha, Mhe. Mchengerwa amewataka watendaji wa ofisi yake kushirikiana na wawakilishi wa wananchi katika kubaini maeneo ya kujenga miradi ya miundombinu ya afya kulingana na uhitaji.


Kwa upande wake, Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Dkt. Festo Ndugange amemhadi Mhe. Mchengerwa kuwa, Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe haitomuangusha  katika kutekeleza majukumu yake na maelekezo yote aliyoyatoa katika kikao kazi


#KaziInaendelea





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.