• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WALIMU WATAKIWA ARUSHA DC, KUHAKIKISHA KILA MWANAFUNZI ANAPANDA MTI NA KUUTUNZA SHULENI

Posted on: June 7th, 2022

Na. Elinipa Lupembe.

Halmashauri ya Arusha, imeadhimisha kilele cha siku ya Mazingira Duniani mwaka 2022, kwa kuwataka wakazi wa  halmashauri hiyo, kutunza mazingira kwa kupanda miti huku walimu wakisistizwa  kuhakikisha kila  mwanafunzi anaotesha mti shuleni kwakwe na kuutunza mpaka atakapohitimu masomo yake shuleni hapo.

Rai hiyo imetolewa na mgeni rasmi, kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Arumeru, Katibu Tawala wa willaya hiyo, Mwalimu James Mchembe, wakati akizungumza na wakazi wa halmashauri ya Arusha, kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani, maadhimisho yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Nduruma, kata ya Nduruma.

Katibu Tawala huyo ameweka wazi kuwa, inafahamika umuhimu wa kutunza mazingira ni pamoja na kupanda miti, na kuwataka walimu kuwasimamia wanafunzi katika shule zao, kwa kuhakisha kila mwanafunzi anapanda mti mmoja na kuutunza mpaka atakapohitimu masomo yake katika shule husika.

"Kama kila mwanafunzi atapanda mti, tutakuwa na miti minginkatika maeneo yetu, lakini zaidi miti ya matunda itawapatia watoto lishe itakayotokana na mazao ya miti hiyo ya matunda watakayoipanda, niwasihi walimu kila mwanafunzi awe na mti wake na ndio alama atakayoicha shuleni"  amesistiza Mwl. Mchembe.

Hata hivyo Katibu Tawala huyo, alimnukuu  mwandishi mmoja wa kitabu, aliyesema moja kati ya mambo matatu muhimu yanayoweza kumfanya binadamu akaacha kumbukumbu katika historia ya maisha yake duniani ni kupanda mti, na kusisitiza kuwa kila mtu anawajibu wa kuacha kumbukumbu kwenye mazingira yake kwa kupanda mti.

Naye Mwenyekiti wa halmashauri ya Arusha amesema kuwa, kila mwananchi analo jukumu la kutunza mazingira, kutokana na ukweli kwamba,  uharibifu wa mazingira umesababisha madhara makubwa duniani,  ikiwemo uhaba wa mvua na ongezeko la joto, madhara ambayo tayari yanaonekana dhahiri katika maisha yetu.

Aidha amewata watalamu wa mazingira kuendelea kuelimisha  na kuhamasisha jamii, hususani wanafunzi, ili wafahamu umuhimu wa kutunza mazingira, zaidi wawe na nasaba na mazingira yao, jambo ambalo litaleta matokeo chanya.

Awali Mkuu wa Idara ya Mazingira halmashauri ya Arusha, Zuraika Mkundya, licha ya juhudi kubwa inayofanywa na idara hiyo kwa kushirikiana na wadau, bado kuna changamoto ya ushitiki mdogo wa baadhi ya viongozi unaosababisha migogoro ya kimazingira, uchafuzi na uharibifu wahifadhi za  mazingira.Katika kuadhimisha kilele cha wiki ya mazingira dunia, yenye kauli mbiu, Tanzania ni Moja tuu, Tunza Mazingira, halmashauri imepanda jumla ya miti mia tisa, katika shule za  kata ya Nduruma

ARUSHA DC

#KaziInaendelea✍✍

 PICHA ZA MATUKI WAKATI WA KILEKE CHA SIKU YA MAZINGIRA

Katibu Tawala, wilaya ya Arumeru, Mwl. James Mchembe, akipanda mti wa maembe kwenye eneo la shule ya msingi Nduruma, wakati wa maadhimisho ya Kilele cha siku ya Maaingira Duniani 2022.

Mwenyekiti halmashauri ya Arusha, Mhe. Ojung'u Salekwa, akipanda mti wa machungwa kwenye eneo la shule ya msingi Nduruma, wakati wa maadhimisho ya Kilele cha siku ya Maaingira Duniani 2022.


Kaimu Mkurugenzi na Mwanasheria Halmashauri ya Arusha, Wakili Msomi, Monica Mwailolo mti wa maembe kwenye eneo la shule ya msingi Nduruma, wakati wa maadhimisho ya Kilele cha siku ya Maaingira Duniani 2022.


Wanafunzi wa shule ya msingi Nduruma wakipanda miti kwenye eneo la shule yao, wakati wa maadhimisho ya Kilele cha siku ya Maaingira Duniani 2022.


Mwalimu mkuu shule ya  msingi Nduruma, Mwl. Conjesta Kimaro akipanda mti w kwenye eneo la shule ya msingi Nduruma, wakati wa maadhimisho ya Kilele cha siku ya Maaingira Duniani 2022.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.