• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAFUNZI 10,673, KUFANYA MTIHANI TAIFA WA DARASA LA VII  2023 ARUSHA DC....

Posted on: September 13th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Jumla ya Wanafunzi 10,674, wavulana 5,779 na wasichana 4,894, halmashauri ya Arusha wanategemea kufanya mtihani kwa Taifa wa kuhitimu darasa la saba unafanyika tarehe 13 na 14 Septemba 2023 kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).


Mkurugenzi Mtendaji na Mwenyekiti wa Kamati ya Mitihani halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, amebainisha kuwa mtihani huo wa Taifa unajumuisha shule za msingi 143, ikiwa shule 95 ni za seikali na shule 48 ni za binafsi.


Ameeleza kuwa, tayari maandalizi yote yamefanyika kwa mujibu wa taratibu za Mitihani ya Taifa huku wanafunzi na walimu wasimamizi wameshapewa mafunzo ya usimamizi wa mtihani huo.


Msumi amewataka wasimamizi wa mitihani, kuzingatia Kanuni, Sheria na Taratibu wakati wote wa mitihani na kutokujiingiza kwenye aina yoyote ya vitendo vya udanganyifu kwa kuwa, lengo la mitihani hiyo ni kuwapima wanafunzi kulingana na kile walichojifunza kwa miaka yote saba.


"Ninawasositiza watalamu wote wanaohusika na usimamizi wa mitihani, kujiepusha na vitendo vilivyo kinyume kinyume na maadili ya mitihani, na kuhakikisha mitihani inafanyika kwa uaminifu kwa kuzingatia haki za watoto hao  ili waweze kufikia ndoto zao na sio kuwaingiza kwenye matatizo yasiyo ya lazima, serikali imewaamini na kuwakabidhi jukumu hilo kubwa kwa Taifa, hakikisheni mnalitekeleza kwa weledi, uaminifu na uadilifu". Amesisitiza Mkurugenzi Msumi


Awali Mkuu wa Idara ya Elimu Awali na Msingi, halmashauri ya Arusha, Mwl. Salvatory Alute,  amefafanua kuwa kati ya watahiniwa hao 10, 673 wavulana ni 5,779 na wasichana ni 4,894.


Hata hivyo Mkuu huyo wa Idara, amesema kuwa   walimu wamewaandaa wanafunzi vema kisaikolojia, kiakili na kimwili, kwa kuwajengea uwezo wa kujiamini wakati wote wa mitihani kwa kuwa mtihani huo ni sawa na mitihani mingine ambayo huifanya mara kwa mara kwa kipindi chote cha miaka saba wawapo shuleni.


Uongozi wa halmashauri ya Arusha unawatakia wanafunzi wote kila la kheri katika mitihani yao na kuwa watulivu ili waweze kufaulu na kufikia ndoto zao.


ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.