• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wanafunzi Oldonyosambu waanza kutumia maabara baada ya ukarabati kukamilika

Posted on: May 23rd, 2018

Wanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Oldonyosambu wameanza kutumia chumba cha maabara ya somo la Kemia mara baada ya ukarabati wa chumba hicho kukamilika.

Wanafunzi hao wa kidato cha nne, kama walivyokutwana mwandishi wetu, wakifanya jaribio la kuchanganya kemikali kwenye  moja ya Maabara ya somo la Kemia huku wakionekana na nyuso za uhakika wa kile wanachokifanya.

Wanafunzi hao wamekiri kuridhishwa na ukarabati wa maabara tatu za masomo ya Kemia, Fizikia na Biolojia kwa kuwa,  ukarabati huo umewawezesha kufanya majaribio kwa kujiamini zaidi tofauti na hapo awali kabla ya ukarabati huo kufanyika. 

" Tumefurahishwa na ukarabati wa maabara za masomo yote ya Sayansi, kwani maabara hizi zinatuwezesha kufanya majaribio kwa ufasaha huku tukiwa na uhakika wa matokeo wa jaribio tumalolifanya" wamesema wanafunzi hao.

Mkuu wa shule ya Oldonyosambu, mwalimu Leshai Moita, amesema kuwa, jumla ya vyumba vitatu vya Maabara za masomo ya Fizikia, Kemia na Biolojia zimefanyiwa ukarabati kwa mara ya kwanza tangu ilipojengwa 2006 na kufanikiwa kubadilisha miundo mbinu ya maji na gasi.

Mwalimu Moita meongeza kuwa, shule hiyo ya Oldonyosambu ina jumla ya wanafunzi 836, huku wanafunzi 79 wa kidato cha tatu na cha nne wamejiunga na mchepuo wa sayansi na  wanafunzi 473 wa kidato cha cha pili wakisoma masomo hayo ya Sayansi.

Hata hivyo mkuu huyo wa shule amefafanua kuwa, uwepo wa maabara hizo, umeongeza hamasa kwa wanafunzi kuchukua mchepuo wa masomo ya Sayansi  kwani idadi ya wanafunzi inaongezeka mwaka hadi mwaka.

Ongezeko hilo la idadi ya wanafunzi linakwenda sambamba na ufaulu wa wanafunzi katika maso hayo licha ya changamoto ya walimu uhaba wa walimu wa masomo ya Biologia, Fisikia na Hisabati.

Aidha Mkuu huyu wa shule ameendelea kusema kuwa maabara hizo zimekamilika baada ya kufanyiwa ukarabati na kwa kutumia fedha za serikali kupitia mradi wa EP4R, ukarabati uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 15.

Maabara za shule  za sekondari zimekarabatiwa kwa gharama ya shilingi milioni  144.2 zimetumika Serikali kupitia mradi wa Lipa kutokana na matokeo -payment for result (P4R)

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.