• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI ARUSHA DC, WAHIMIZWA KUTUNZA MITI INAYOPANDWA KILA MWAKA

Posted on: April 12th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Mwenyekiti halmashauri ya Arusha Mhe. Ojung'u Salekwa, amewataka wananchi wa halmshauri hiyo, kuhakikisha wanatunza miti inayopandwa kwenye kampeni za upandaji miti, zinazofanyika kila mwaka katika halmashauri hiyo.

Mwenyekiti huyo ametoa rai hiyo, wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Imbibya kata ya Mwandet mara baada ya zoezi la uzinduzi wa Kampeni ya upandaji miti mwaka 2023, halmashauri ya Arusha.

Mhe. Ojung'u amefafanua kuwa, kila mwaka Serikali kwa kushirikiana na Wadau, wamekuwa na mazoezi ya upandaji miti lakini kumekuwa na changamoto kubwa katika utunzaji wa miti hiyo, inayosababishwa na wanachi wenyewe kuitelekeza na wakati mwingine kuachia mifugo kushambulia miti hiyo.

"Niwaombe ndugu zangu, madhara ya uharibifu mazingira mnayashuhudia, kupanda miti ni hatua moja tuu, miti inatakiwa kutunzwa ili ikue, tunapaswa kujitoa kusimamia miti hii, tumepanda miti elfu 10 kijijini hapa ikisimamiwa vizuri, itapunguza makali,  kila mtu ana jukumu la kutunza miti iliyopandwa na kutunza pamoja na kuhifadhi  mazingira yanayomzunguka". Amesisitiza Mwenyekiti Ojung'u

Hata hivyo Diwani wa kata ya Mwandet, Mhe. Logolie, licha ya kuishukuru serikali kwa kuwapa miti, amethibitisha kuwepo uharibifu wa mazingira katika maeneo ya kata yake lakini tayari wameshajiwekea mikakati ya kuhakikisha miti iliyopandwa inasimamiwa vizuri na kukua.

"Tumeandaa sheria ndogo za vijiji, mbuzi akila mti faini elfu 50, na kila mtu anapaswa kupanda miti kwenye eneo lake, ikiwemo nyumbani, shambani pamoja na maeneo ya Taasisi za Umma na binafsi". Amefafanua Mhe. Diwani.

Naye Abraham Mollel mkazi wa kijiji cha Imbibya amewashukuru wadau kwa kuwapa mmit mingi ambayo wameipanda kwenye maeneo mengi na kuahidi kuhamasishana kuitunza ili isishambuliwe na mifugo.

"Kutokana na madhara ya uharibifu tunayoyashuhudia sasa, Tumeweka sheria zetu za kutoza faini endapo mifugo itakula mti, lakini tumekubaliana kufungia mifugo yetu, ili kunusuru hali hii mbaya ya uharibifu wa mazingira, tunashukuru serikali kupitia wadau, wametuhamasisha na kutupa elimu ya umuhimu wa miti katika utunzaji wa mazingira"Amesema Abraham

Mratibu wa program hiyo MVIWAARUSHA , amesema kuwa, wanatarajia kupanda miti elfu 10 kwenye vijiji 10 vya halmashari ya Arusha, vijiji  vilivyoathirika sana na ukame uliotokana na ukataji miti.

"Kauli mbiu ya Kitaifa ya Utunzaji Mazingira ya Kitaifa: Mti wangu, Nchi yangu, Taifa langu, KaziIendelee✍✍


ARUSHA DC  ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

PICHA ZA MATUKIO








Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.