• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Arusha DC, watakiwa kufanya kazi kwa bidii, kuelekea uchumi wa kati

Posted on: June 9th, 2019

Na. Elinipa Lupembe.

Wananchi halmashauri ya Arusha, wilaya ya Arumeru, wamewatakiwa kuendelea kufanya kazi kwa bidii, kwa kufuata sheria za nchi pamoja na kumuunga mkono juhudi za mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, katika kupambana na rushwa, dawa za kulevya na kupinga adui ujinga, kwa maendeleo ya Taifa letu na kuelekea uchumi wa kati, ifikapo 2025.

Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2019, ndugu Mzee Mkongea Ali, wakati wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwenye halmashauri hiyo, na kuwasisitiza wananchi kuwa, Serikali imeweka mikakati ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za kijamii ikiwemo, huduma za afya, elimu, maji na miundombinu ya barabara, hivyo wananchi wanapaswa kuuunga mkono juhudi hizo kwa kufanyakazi kwa bidii.

Amewasihi wananchi wote, kuhakikisha wanatunza mazingira na vyanzo vya maji, ili waweze kuendelea kupata maji safi na salama, na kuongeza kuwa,  kwa kuwa maji ni haki ya kila mtu, hivyo ni wajibu wa na kila mwananchi  kutunza vyanzo hivyo vya maji.

"Suala hili la kutunza vyanzo vya maji ni letu sote, niwasihi  wananchi wenzangu kuacha, kuchunga mifugo yetu katika hifadhi za misitu yenye vyanzo vya maji, pamoja na kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji" amesisitiza Mzee Mkongea Ali.

Aidha amewataka wananchi wote, kuwa tayari kushiriki uchaguzi unaokuja wa Serikali za Mitaa, na kuwahimiza muda utakapofika, kwenda kujioredhesha kwenye orodha ya wapiga kura, na kuwahamasisha wanawake na vijana kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi zinagombaniwa.

Zaidi Kiongozi huyo, amewataka wananchi, kujitokeza kusikiliza sera za wagombea hao na kufanya maamuzi sahihi ya kuchagua kiongozi,  ambaye ataweza kuongoza vyema na kuwaletea maendeleo, na kuachana na vitendo vya rushwa.

Awali katika halmashauri ya Arusha, Mwenge wa Uhuru 2019, umetembelea na kukagua miradi 8 yenye thamani ya shilingi bilioni 15.9 kwenye sekta za elimu, afya, maji, mifugo na uwekezaji, huku miradi mitatu imewekwa jiwe la Msingi, miradi miwili imezinduliwa na kukagua  miradi mitatu.


Picha za matukio ya Mweng wa Uhuru 2019.


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2019,ndugu Mzee Mkongea Ali, akiweka Jiwe la Msingi jengo la mama na mtoto, hospitali ya Olturumet.


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2019,ndugu Mzee Mkongea Ali, akipanda mti kwenye shule ya sekondari Oldonyowas wakati akizindua shule hiyo.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2019, ndugu Mzee Mkongea Ali, akiweka Jiwe la Msingi kuzindua mradi wa ufugaji Nyuki Oldonyowas.









Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA August 14, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA BW. SELEMAN MSUMI AWASHONEA SARE MADEREVA WA HALMASHAURI HIYO

    October 02, 2025
  • WIZARA YA KILIMO KUPITIA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO (COPRA) YAZINDUA RASMI MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PARACHICHI KWA MWAKA 2025/2026

    September 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MWINYI AHMED MWINYI AHITIMISHA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT)

    September 21, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA AWAASA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA USAFI

    September 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.