• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wananchi wa Olkokola waridhishwa na uboreshwaji wa huduma za afya, Kituo cha Afya Olkokola

Posted on: January 20th, 2020

Kufuatia mkakati wa Serikali kuendelea kuboresha huduma za afya, na kuhakikisha huduma hizo, zinawafikia wananchi wote hadi waishio vijijini kwa kuimarisha miundombinu ya majengo, upatikanaji wa dawa muhimu, vifaa tiba pamoja na uwepo wa wahudumu wa afya.

Wananchi wa kata ya Lemanyata halmashauri ya Arusha, wamekiri kunufaika wa huduma bora za afya zinazopatikakana kwenye kituo chao cha Afya cha Olkokola, kituo kinachotoa huduma kwa saa 24 sasa.

Aidha wamesema kuwa, kwa sasa jamii yao imepana mwanga na imeanza kubadili mtazamo juu ya Afya ya uzazi, kwa kuhimiza wajawazito na watoto wa chini ya miaka mitano, kuhudhuria kiliniki huku wanaume nao wakianza kwenda na wenzi wao kliniki, jambo ambalo hapo awali hakuwezekana kulinga na mila na desturi zao.

Naishooki Loishiye(39) mama mwenye watoti kumi, amethibitisha kuwa kabla ya kituo hicho kimeleta mabadiliko chanya kwa wananchi wa Olkokola, kwani hata yeye ifadi kubwa ya watoto wake alijifungulia nyumbanu jambo ambalo amegundua ni hatari kwa maisha yake.

Hata hivyo Wameishukuru Serikali ya awamu ya tano, iliyosababisha upatikanaji wa huduma rafiki kwa wagonjwa, uwepo wa dawa zote muhimu tofauti na hapo awali, jambo limesababisha kina mama kuacha kujifungulia nyumbani, na kuwapunguzia vifo visivyo vya lazima kwa kina mama wajawazito na watoto wakati wa kujifungua.

Mganga Mfawidhi kituo cha Afya Olkokola Dkt. Ezekiel Jacob, amekiri kuwepo kwa ongezeko kubwa la wagonjwa kutuoni hapo mpaka kufikia wagonjwa 700 kwa mwezi na zaidi ya asilia 90 wanapata matibabu na huduma stahiki.

Shime wananchi wote tuunge mkono juhudi za Serikali ya awamu ya tano kwa kulipa kodi na kuchangia shughuli za maendeleo katika maeneo yetu kwa ajili yetu na Taifa letu kwa ujumla.



Stoo ya Dawa Kituo cha Afya Olkokola

Wakibaba wakiwapeleka watoto wao Kliniki kwenye Kituo cha Afya Olkokoka (majina tunayo)


Mganga Mfawidhi, Kituo cha Afya Olkokola Dkt. Ezekel Jacob akimuhudumia mgonjwa aliyelazwa kwenye Kituo cha Afya Olkokola.


Vifaa tiba kwenye chumba wazazi (Labour ward) kituo cha Afya Olkokola

Baadhi ya Wagonjwa wakiwa Kituo cha Afya cha Olkokola kwa ajili ya kupata huduma


Mhudumu wa Afya akitoa Elimu ya Afya ya  Uzazi kwa wateja waliofika kwenye Kituoncha Afya Olkokola

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.