• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WATAKIWA KUEPUKA UPOTOSHAJI JUU YA SERIKALI KUSITISHA MIKOPO ISIYO NA RIBA ILIYOKUWA IKITOLEWA NA HALMASHAURI

Posted on: August 8th, 2023

Na Mwandishi Wetu.

Wananchi wa halmashauri ya Arusha wametakiwa kuwa watulivu na kuepuka upotoshaji juu ya usitishwaji wa mikopo ya asililimia 10 ya mapato ya ndani  iliyokuwa ikitolewa kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye walemavu na kusitishwa kwa muda huku  serikali ikiendelea kufanya maboresho ya namna bora ya utoaji na urejeshaji wa mikopo hiyo.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Seleman msumi wakati akijibu swali lililoulizwa na Diwani wa viti maalum - CCM, Mhe. Anneth Kifwe aliyetaka ufafanuzi  juu ya mkakati wa halmashauri kutoa elimu kwa wananchi kutokana na tamko la Serikali kusitisha kwa muda mikopo  ya asilimia 10 ili wananchi waweze kuepukana na upotoshaji unaondelea na baadhi ya taasisi za kifedha kwenye vijiji na vitongoji vyao,  wakati wa Mkutano cha Baraza la Madiwani cha robo ya nne mwaka wa fedha 2022/2024 uliofanyika kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo.

Mkurugenzi Msumi amesema kuwa, serikali ilisitisha utoaji wa mikopo isiyo na riba inayotolewa na halmashauri kupitia ahsilimia 10 ya mapato ya ndani mikopo hiyo isiyo na riba ilisitishwa kutokana na changamoto mbalimbali zilizojitokeza ili kufanya tathmini na maboresho na hatimaye kuja na njia bora zaidi ya utoaji na urejeshaji wa mikopo hiyo sambamba na kuwafikia walengwa wenye sifa."Changamoto zilizojitokeza ni badhi ya vikundi kuchukua mkopo na kupuuzia kurejesha kwa wakati na wengie kutokurejesha kabisa kwa kuona ni fedha  za Serikali jambo ambalo lilisababisha hasara na malengo ya utoaji wa mikopo hiyo kutokutimia, Serikali baada ya kuona changamoto hiyo kupitia ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali iliamua kusitisha mikopo hiyo kwa muda ili kutafuta namna bora ya kuendelea kutoa mikopo hiyo ili wananchi waendelee kunufaika na kujikwamua kiuchumi." Amebainisha Mkugenzi Msumi.Hata hivyo amewasisitiza wanaanchi kuwa wavumilivu na kuachana na mikopo inayotolewa na mTaasisi za kifedha yenye riba kubwaa kwa kuwa, utoaji wa mikopo isiyokuwa na riba utarejea, na kuongeza kuwa, halmashauri inaendelea kutoa elimu kwa wananchi kupitia Maafisa Maendeleo ya Jamii na Maafisa Watendaji wa vijiji na Kata hadi pale utaratibu wa serikali wa kurejesha mikopo hiyo utakaporejeshwa na wananchi kuendelea kunufaika na mikopo


Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Arusha, Stedvant Kileo amewataka waliokopeshwa fedha hizo waendelee kufanya marejesho kama kawaida ili fedha hizo ziendelee kuwanufaisha wananchi wengine kwani serikali haijasitisha utaratibu wa kufanya marejesho kwa vikundi vilivyokuwa vimekopeshwa hapo awali.

Ameongeza kuwa, wananchi waliokopeshwa mikopo hiyo wanapaswa kuendelea na shughuli zao za uzalishaji na kupuuza upotoshaji kutoka kwa watu na taasisi zisizokuwa na vibali maalum kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wenye lengo la kupotosha dhana ya serikali kwani utaratibu utakapokamilika wa utoaji wa mikopo hiyo wananchi watajulishwa kupitia mamlaka husika.

ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.