• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WOTE MNAALIKWA KUTEMBELEA MABANDA YA HALMASHAURI YA ARUSHA KWENYE VIWANJA VYA NANENANE NJIRO ARUSHA.

Posted on: August 1st, 2020

Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, anawakaribisha wananchi wote kutembelea Mabanda la Halmashauri ya Arusha, kwenye Maonesho  ya Wakulima Nane Nane yaliyoanza tarehe 01 -8 Agosti, 2020, kwenye  viwanja vya Nanenane Njiro.

Wananchi wote Wakulima na Wafugaji MAALIKWA Kutembelea kwenye Banda halmashauri ya Arusha kujionea shughuli mbalimbali za Kilimo na Mifugo na  kujifunza mambo yafuatayo:-

-: Kilimo cha mbogamboga kinachoendana na matumizi bora ya Ardhi kwa maeneo ya mijini, badala ya kupanda maua, utajifunza kupanda mbogamboaga za aina zote kama urwmbo wa nyumba.

-: Uatakutana na watalamu wa Kuelekeza kanuni za Kilimo bora kwa kutumia pembejeo bora za Kilimo ikiwemo uchaguzi wa mbegu bora, matumizi ya mbolea ya kupandia na kukuzia.

-: Kutana na watalamu watakao kuunganisha Mkulina na Mfugaji na Mfuko wa Pambejeo wa Taifa uweze kukopa zana za kilimo ikiwemo Matrekta, mashine zote za Kilimo pamoja na shughuli zote za Umwagiliaji.

-: Kutana na watamu wa Lishe bora watakaokuwezesha kuongeza thamani kwenye mazao ya Kilimo na Mifugo, kuandaa na kuhifadhi chakula.

-: Kutana na watalamu wa Kilimo na Ushirika, namna ya kuanzisha SACCOS na Vyama vya Msingi (AMCOS).

-: Utakutana na watalamu wa Afya na mobile Clinic pale utapata huduma za upimaji wa Ugonjwa wa UKIMWI, Tathmini ya Lishe kwa kupima uzito kuendana na urefu wako.

KAULI MBIU 2020:

"KWA MAENDELEO YA KILIMO, UFUGAJI NA UVUVI CHAGUA VIONGOZI BORA"


PICHA  ZA BANDA LA HALMASHAURI YA ARUSHA.

Banda la Kilimo la Halmashauri ya Arusha kwenye viwanja vya Nane Nane Themi - Jijini Arusha.


Kilimo cha nyumbani cha mbogamboga kwenye maeneo ya mjini, otesha mboga badala ya maua nyumbani. 


Kilimo cha nyumbani cha mbogamboga kwenye maeneo ya mjini, otesha mboga badala ya maua nyumbani. 


Pembejeo za Kilimo, ikiwemo mbegu bora za mazao, mbole za kupandia na kukuzia.

Mobile Clinic Car, huduma za Afya zinapatikana hapo bila malipo yoyote, huduma ya vipimo vya Virusi vya UKIMWI, Tathmini ya Lishe kwa kupima uzito na urefu na kupata ushauri wa kudhibiti uzito uliozidi.

Afisa Lishe halmashauri ya Arusha Doto Milembe (kulia) akimpima urefu mmoja wa vijana (jina kapuni) aliyefika kwenye banda la halmashauri ya Arusha kupata ushauri wa Afya na Lishe  kudhibiti uzito uliozidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.