• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAUME SHIRIKINI KUPAMBANA NA UTAPIAMLO KWA WATOTO

Posted on: August 16th, 2023

Wanaume wametakiwa kushirikiana na familia zao kuhakikisha, zinapata chakula bora ili kukabiliana na changabmoto ya utapiamlo hususani kwa watoto wa chini ya miaka mitano.


Hayo yamesemwa wakati  wa kikao cha tathmini ya Lishe cha robo ya nne mwaka wa fedha 2022/2023, uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano halmashauri ya Arusha.


Katika kikao hicho kilichoongozwa na Afisa Tarafa ya Moshono Dominick Njuriwa, kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Arumeru, imeoneka baadhi ya kinababa hawashiriki katika malezi ya watoto na kuwaachia kina mama wakiteseka na familia jambo ambalo linasababisha watoto kukosa chakula na kusababisha kuwa na utapiamlo.


Mwenyekiti huyo, amewataka wanaume kuwacha tabia ya kutelekeza familia badala yake kuwahurumia kina mama na watoto kwa kushirikiana katika malezi na kuhakikusha watoto wanapata chakula bora kwa kuwa ndio msingi wa makuzi ya akili na mwili wa mtoto.


Aidha amewataka watalamu kuendelea kuelimisha jamii, umuhimu wa malezi  na upatikanaji wa chakula bora kwa familia, huku akiwataka watendaji kuona namna ya kuwachukulia hatua, wanaume wanaotelekrza familua zao kupitia

 ofisi za Ustawi wa Jamii.


Afisa Mtendaji kata ya Sambasha, Peter Chimwelo, amesema kuwa katika kata hiyo, wanaume wamekuwa wakiacha familia zao na kwenda kufanya kazi nchini Kenya, na kuwaacha kinamama wakizihudumia familia jambo ambalo wanaelemewa na kushindwa kukidhi mahitaji ya familia kwa  kukosa chakula bora.


"Wanaume wanaenda Kenya kufanyakazi, wanaziacha familia kwa muda mrefu, kina mama wanaelemewa na majukumu, wakati mwingine kushindwa hata kupata chakula cha watoto, na kusababisha utapiamlo". Ameweka wazi Chimwelo


Naye Afisa Mtendaji kata ya Musa Justina Mugera  amesema kuwa, kata hiyo watu hulima zao la tumbaku zaidi, baada ya mavuno wanaume ndio wenye haki na dhahnauna yae kuuza, baada ya mauzo hawakubuki kununua chakula cha kutosha cha familia, na kusababisha watoto kukosa chakula na kupata utapuamlo.


"Licha ya kwamba elimu inatolewa bado kuna changamoto kubwa kwa baadhi ya familia inayotoka na mila za mfumo dume, kina mama ndio wakulima na watunzaji wa mashamba, mazao yaikivunwa, mama hausiki tena, hii inasababisha familia kukosa chakula, kwa kuwa baba ndiyo mmiliki wa pesa, hakumbuki tena familia na baadhi huhama nyumbani kwa muda". Amefanua Jestin.





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.