• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAWAKE MKOANI ARUSHA WAJIPANGA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Posted on: March 2nd, 2025

WANAWAKE MKOANI ARUSHA WAJIPANGA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI


Wanawake mkoani Arusha wameendelea kuonyesha mshikamano na ushiriki mkubwa katika michezo na shughuli mbalimbali zinazoelekea kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, inayoadhimishwa Machi 8 kila mwaka.


Katika maandalizi hayo, michezo kama rede, kuruka kamba, na mbio za kuvaa mfuko imekuwa kivutio kikubwa, huku wanawake wa rika zote wakijitokeza kwa wingi kushiriki. Mkuu wa Mkoa wa Arusha amepongeza juhudi hizo na kumuahidi Bibi Arafa Matoke ambae ni mshindi kwa upande wa mchezo wa kukimbia na gunia bajaji pamoja na runinga.


Mbali na michezo, wanawake wa Jeshi la Polisi nao wameungana na jamii kutoa elimu kuhusu ukatili wa kijinsia, wakihimiza jamii kushirikiana katika kupinga vitendo vyote vya unyanyasaji dhidi ya wanawake na watoto.

Wananchi walioshiriki wamesifu maandalizi ya mwaka huu, wakisema kuwa yamekuwa na msisimko wa kipekee, huku shughuli mbalimbali zikiandaliwa kwa ajili ya kuhamasisha usawa wa kijinsia na haki za wanawake. Wamesema kuwa sherehe za mwaka huu zimeleta mshikamano mkubwa na kuonyesha umuhimu wa ushiriki wa wanawake katika nyanja zote za jamii.

Siku ya Wanawake Duniani ni fursa kwa wanawake kote duniani kusherehekea mafanikio yao, kujadili changamoto wanazokabiliana nazo, na kuweka mikakati ya kuimarisha nafasi yao katika jamii. Mkoa wa Arusha umeendelea kuwa mfano wa kuigwa kwa namna unavyosherehekea siku hii kwa matukio yenye tija kwa jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.