• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WASICHANA SHULE YA MSINGI ILKIUREI WAPEWA CHEREHANI KUSHONA TAULO ZA KIKE

Posted on: September 16th, 2022

Na Elinipa Lupembe

Wasichana shule ya msingi Ilkiurei, halmashauri ya Arusha, wamepewa mashine ya kushonea  nguo, (cherehani aina ya Butter fly) kutoka kwa wadau wa shirika lisilo la kiserikali la KUKUA PAMOJA TANZANIA, kwa ajili ya kushonea taulo za kike kwa wanafunzi wa shule hiyo, kujistiri wakati wa hedhi.

Wasichana hao wamepatiwa chereheni yenye thamani ya shilingi laki 3, ikiwa ni mradi wa kushona taulo zao za kike shuleni hapo, lengo likiwa ni kuhakikisha kila msichana anapata sodo awapo shuleni na kuweza kujistiri pamoja na kuhudhuria masomo kipindi chote cha masomo bila kipingamizi cha hedhi.

Akizungumza wakati wa kukabidhi mashine hiyo, mkurugenzi wa shirika la  TUKUE PAMOJA Tanzania,  Ayubu Patrick, amesema kuwa, shirika limefikia hatua hiyo, lengo likiwa ni kuwawezesha wasichana wasio na uwezo wa kupata taulo hizo wakati wa hedhi, ili asishindwe kuhudhuria masamo yao.

Ameeleza kuwa Shirika hilo kupitia mradi wa Tukue Pamoja, litawafundisha wasichana 20 kushona taulo hizo, na baadaye kuendelea kushona wenyewe huku wakiwafundisha wenzao na taulo hizo kugawiwa kwa wasichana wote shuleni ambao tayari wamefikia umri wa kuvunja unga.

"Tutakuwa na program ya kuwafundisha wasichana 20 kushona wakishaweza, watafundisha wenzao, lakini zaidi tutawafundisha elimu ya makuzi na mabadiliko ya kukua kimwili na athari zake pamoja na namna ya kujitunza katika hali za mabadiliko ya makuzi na ujana". Amesema Mkurugenzi Patrick.

Ameeleza kuwa takwimu zinaonyesha kuwa bado wasichana wanakabiliwa na changanoto ya kushindwa kuhudhuria masomo kwa kukosa vipindi 3 - 4 kwa mwezi na takribani vipindi 48 kwa mwaka wakati wa hedhi kwa kushindwa kumudu gharama za taulo za kike.

Hata hivyo wasichana hao, wamelishukuru shirika hilo kwa msaada huo, ambao wamethibitisha ni muhimu kwao, kwa kuwa wasichana wengi hushindwa kujiamini kipindi cha hedhi kutokana na kukosa uhakika wa kujisitiri.

Jemima James mwanafunzi wa darasa la IV, amebainisha kuwa ni kweli kuna tatizo la baadhi ya wasichana kushindwa kumudu kununua taulo za kike na baadhi kukosa masomo kipindi hicho cha hedhi, na kusababisha kuzorotesha maendeleo ya wasicha kimasomo.

"Kuna wasichana wakiwa kwenye hedhi, inawalazimu kuomba ruhusa na kubaki nyumbani, tukifundishwa kutengeneza sodo, itaturahisishia hedhi salama pamoja na kusoma kwa amani". Amesema Jemima

Naye Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Ilkiurei, Mwl. Beatrice Kapinga, amesema kuwa wanafunzi wakiwa na uhakika wa kupata sodo shuleni, itaonheza ari ya wasichana kusoma kwa kuwa changamoto hiyo haitakuwepo tena.


ARUSHA DC 

TUPO KAZINI ✍✍







Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.